Hoja dhaifu hiyo. Chadema ukiwaona wanavyosema utadhani wamaana. kumbe 0
hii itakost sana mkuu wangu
Home of great thinker'hapo ndio siamini kama kuna great thinker hapa jamvini'michango yao ipo kiushabiki tu,Dr,Slaa ni Katibu mkuu wa chama huwezi kufananisha na wengine ambao wanafunga ndoa kesho,kwa hiyo hata mambo yake yalitakiwa yawe tofauti,kama Slaa angeahirisha hyo harusi ungeona wanaotetea harusi ya kesho wangekuja na style mpya ya kumsifia sana kama ni mtu wa watu na anajali watu'wote wafata mkumbo,CCM mahututi,CDM maiti kabis,CUF ndio Marehem wa siku nyingi'nchi hii haiwezi kuja kubadilishwa na wanasiasa'ila kwa uvivu wetu wakufanya kazi wanasiasa wametufanya mtaji mkubwa wa kukamilishia maisha yao'think twice
Haiwezekani watu tunaomboleza jamaa anaoaaaa Daaaaaaamnnnnnnnn!!huu ni ubinafsi wa hali ya juu
Anaoa Dr.Slaa au CHADEMA kama chama? Inakuaje unapima na unaikosoa CDM kwa sherehe ya mwanachama wake? Dr. Slaa anafanya sherehe ya ndoa kama yeye binafsi na si kwa nafasi yake ya ukatibu wa chama. Hapo inakuwa ngumu na aniingii akilini kusema CDM ni dhaifu na hali hakuna sera or itikadi ya chama inayotamka na inayosupoti hoja tajwa katika thread yako. "Tujifunze kujenga hoja na si kukurupuka na hoja dhaifu kama yako".
ina maana wewe umeona tu harusi ya dr slaa ,hapakuwa na harusi zingine?tofautisha mambo ya kitaifa na mambo ya kifamilia .wewe unayesema hivyo hata sijui umetoa mchango gani ktk msiba huo wa kitaifa
nIPO KTK MAOMBELEZI. chadema pigeni bia halafu mnadanganya Umma mnauchungu na wananchi