Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 15,570
- 19,443
Huyu jamaa alisema 2005 raisi lazima awe mwanamke. Ilipotokea JK akasema yeah utabiri umetimia si mnaona wenyewe JK ana haiba ya kike!!!!!!!!!
Huyu Sheikh alimdhalilisha sana Rais kwa kusema kuwa ana haiba ya kike.
Kama kweli katiba yetu inamlinda rais aliyemaliza muda wake hata kwa madudu aliyofanya bila kujali interest za taifa inakuwaje katiba hiyo haimlindi rais aliyeko madarakani kama akidhalilishwa personally namna hii?