Kitila Mkumbo
JF-Expert Member
- Feb 25, 2006
- 3,354
- 1,943
Why are discussing this in the first place?
Mkuu YY,
Huwa SINA imani kabisa na ubashiri, siamini kama ubashiri wa Sheikh ni sahihi........
....Lakini otherwise, ya utabiri ni waste of time kumsikiliza ingawa pia hamlazimishi mtu kumsikiliza....
Mkuu katika maandishi niliyonukuu hapo juu nani mnafiki? Nadhani unatakiwa kusoma kilichoandikwa na yeyote unayemwita mnafiki kabla ya kumhukumu hivyo.....
Nilitegemea mjadala kama huu wote tunaoitakia mema nchi hii tungeungana kukataa mambo ya uaguzi,uchawi,utambuzi wa nyota nk, lakini hata wale wachangiaji wazuri kwenye mada zingine ambazo wakati mwingine ni za kipuuzi kabisa wako mbele kutoa maoni, watu km invisible,masatu,field marshal,kibunango na wengine, hawa ni wanafiki wakubwa! Hakuna hata chembe ya kulitakia taifa hili mema, ni wanafiki tu
Sheikh Yahya Hussein:
Kuna tabiri ambazo naweza kumpa credit.
(a) Mwishoni mwa mwaka 2002 alisema kuwa Saadam Huessin atatolewa madarakani kwa nguvu mwezi Machi mwaka 2003. Ni kweli ilitokea hivyo
(b) Mwaka huo huo alisema kuwa kungetokea ajali ya chombo kikubwa sana cha anga; ni kweli Space Shuttle Columbia ilipasukia angani mwezi Januari mwaka huo wa 2003.
Lakini tabiri zake nyingi hazina ukweli.
(a) Wakati anasem Saddam atatolewa madarakani, alisema pia kuwa Osama bin Laden angeshikwa, kufariki au kuuwawa; lakini Bin Laden amekuwa anatoa kanda zake kila kukicha.
(b) Alisema kuwa rais wa Tanzania baada ya Mkapa angekuwa mwanamke. Sielewi kama huyu Kikwete (ambaye huko mitaani akina mama hawapumui) kweli ni mwanamke,
(c) Nadhani mwaka 1973 au 74 hivi alitabiri kuwa timu ya Yanga ingekuwa bingwa lakini ubingwa huo ulichukuliwa na Simba (au kinyume chake)
Sheikh Yahya Hussein:
Kuna tabiri ambazo naweza kumpa credit.
(a) Mwishoni mwa mwaka 2002 alisema kuwa Saadam Huessin atatolewa madarakani kwa nguvu mwezi Machi mwaka 2003. Ni kweli ilitokea hivyo
(b) Mwaka huo huo alisema kuwa kungetokea ajali ya chombo kikubwa sana cha anga; ni kweli Space Shuttle Columbia ilipasukia angani mwezi Januari mwaka huo wa 2003.
Lakini tabiri zake nyingi hazina ukweli.
(a) Wakati anasem Saddam atatolewa madarakani, alisema pia kuwa Osama bin Laden angeshikwa, kufariki au kuuwawa; lakini Bin Laden amekuwa anatoa kanda zake kila kukicha.
(b) Alisema kuwa rais wa Tanzania baada ya Mkapa angekuwa mwanamke. Sielewi kama huyu Kikwete (ambaye huko mitaani akina mama hawapumui) kweli ni mwanamke,
(c) Nadhani mwaka 1973 au 74 hivi alitabiri kuwa timu ya Yanga ingekuwa bingwa lakini ubingwa huo ulichukuliwa na Simba (au kinyume chake)
Hivi hapa tatizo liko wapi jamani?..
Huyu ni Mtabiri na wapo dunia nzima hata ddunia ya kwanza wapo watu kama hawa na sioni tatizo ni lipi..
Hata ktk elimu tunao madaktari ambao wanakupa diagonosis hii ukienda Hospital kumwona daktari mwingine wanakwambai tofauti!..Dini zetu zenyewe zina tabiri na dalili ya dunia kwisha na kila siku wahubiri huja na kutuambia kuwa dunia inakwisha kesho mara kesho kutwa!.. Ni maswala ya Utabiri tu hayana matusi ndani yake..
Huyu mtu katabiri alofikiria ktk ujuzi wa kazi yake hukubaliani naye huna haja ya kuvimba mishipa ya kichwa kwani huu ni Utabiri tu..Kweli kuna kila dalili Kikwete kushunda tena kwa kishindo, Mengi anaweza kuingia siasa kwani kuna kipingamizi?.. zaidi nini hasa! Ni kitu gani hasa kilichowafanya mfikie hata kutovumilia..
JF kila kitu udini... Aaah! mi nachoka kabisaa...! Watu wanafikia hata kupoteza hikma na busara zao...! Kaaziii... kweli kweli!