Invisible
Robot
- Feb 11, 2006
- 9,075
- 7,878
Mnajimu maarufu wa Tanzania leo ametabiri kuwa mwaka 2009 utakuwa mwaka mgumu kiuchumi (mwaka wa matatizo); pia akadai kuwa mwaka 2010 uchaguzi hautakuwa na kuibiwa kwa kura kama chaguzi zilizopita.
The most interesting thing ni kuwa alibashiri kuwa mfanyabiashara mkubwa nchini kwa jina la Reginald Mengi ataingia kwenye siasa kabla ya 2011!
Je ubashiri wake utakuwa sahihi?
The most interesting thing ni kuwa alibashiri kuwa mfanyabiashara mkubwa nchini kwa jina la Reginald Mengi ataingia kwenye siasa kabla ya 2011!
Je ubashiri wake utakuwa sahihi?