wakitaka wajue wako wangapi wahesabu watakaojitokeza kwenye maandamao yao ya amani halafu plus watakaoshiriki sensa..its very easy kwani majina ya kiislamu si yanajulikana na sensa huwa tunarekodi majina yote bwana
kazi itabaki kujua wanaishi wapi
wakitaka wajue wako wangapi wahesabu watakaojitokeza kwenye maandamao yao ya amani halafu plus watakaoshiriki sensa..its very easy kwani majina ya kiislamu si yanajulikana na sensa huwa tunarekodi majina yote bwana
Vatican ni nchi . Je oic ni nchi?
Mfano wako wa Israel na Palestina sio sahihi, Israeli wangeachwa peke yao wangeshatandikwa siku nyingi na Wapiganaji wa Kipalestina, ila kwa vile Israel inasimamishwa na mataifa ya Magharibi, USA, UK nk
mkuu israel ni taifa teule la Mungu na hakuna awaye yeyote wa kulishinda taifa hili kwani Mungu alisema taifa lelote litakarolibariki taifa la israel basi nalo litabarikiwa na taifa lolote litakaloilaani israel basi nalo litalaaniwa ndio maana wenzetu wa mataifa ya magharibi walishalitambua hilo mapema ndio maana wamebarikiwa, ila sasa mmebakia nyie wenzangu na mie mnaoiponda israel na kuishabikia oman, iraq, afghanstan, somalia ndio maana laana na matatizo yamewajaa na sasa mnabakia kulumbana ninyi kwa ninyi.
Are you sure?Mfano wako wa Israel na Palestina sio sahihi, Israeli wangeachwa peke yao wangeshatandikwa siku nyingi na Wapiganaji wa Kipalestina, ila kwa vile Israel inasimamishwa na mataifa ya Magharibi, USA, UK nk
acha uongo mkuu Israel haiwezi kusaidiwa na taifa lolote katika kupigana wanauwezo wa ajabu na wa hali ya juu katika vita na wana uwezo wa kuimaliza hata dunia nzima wakiamua. Palestina, tafsiri yake ni filistians (wafilisti) ambao ni maadui wa mwenyezi mungu ambao walikuwa wakipigwa kila siku na mungu kupitia samson.
Ustaarabu ni kujua kushukuru ! Sasa wewe unaye shukuru "picha" baada ya kushiba ndo una elimu ya juu !!???hizo takwimu kazitoa madrasa au msikitini. huyo jamaa ni kilaza hana shule yeyote kula yake na kuishi kwakwe kunategemea msikiti.Poor ponda. ninawaonea huruma waislamu ifike wakati wajitafiti na wajikomboe kifikra na kimtizamo. wasome shule na wafanye kazi kwa bidii lakini kukbwa wawe wastaarabu kwa kuwa katika uislamu hakuna ustaarabu, hakuna elimu, hakuna maendelo zaidi kumejaa ushirikina wa majini albadir majungu na uvivu
Kama ni dini ya kweli convert "Wayahudi" ambao Yesu kazaliwa na dada yao !Angalia hii tube jinsi tunavyo mibatizeni
6 Million Muslims convert to Christianity - Al-Jazeerah ! - YouTube
inaonekana unakremishwa bila kujua mambo juu ya vatican,ile ni nchi inayojitegemea na ina rais wake ambaye ni papa so kama ilivyo sudan,ethiopia,italy n.k ina balozi wake na kule kuna balozi wa tz so tatizo lako ni nn?msilazimishie mambo banaNafikir sio jambo baya kujua idadi na sio kujua idadi tu bali ni kuweka takwimu za nchi sawa ,ili kujua majority ya idadi ya wenye dini na hata wale wasio na dini. Tunaelewa kuwa serikali yetu ni ya kipagani lakini utaona imeikataa OIC na kuikubali Vatican ,ni kosa la kikatiba nchi nyingi tu hata kwenye passport zao unaweza kuona sehemu inayokutaka kubainisha dini yako.NA KWA NINI JAMBO HILI LIKATALIWE KUNAOGOPWA NINI ? au ni sawa kama vile CCM wanacyokataa kuweka tume huru ya Uchaguzi inayoshirikisha wadau wote ??
Israel ni Taifa teule la Mungu ! Na haya '' Mataifa mengine" Mungu amemkabidhi nani !? Au umepewa Wewe uyasimamie na kugawa riziki ! Akili zenu wagalatia ni za Mbayuwayu tupu ! Ndo maana ukaletewa picha mkaambiwa: Huyu ni Mungu, nanyi mkajibu: Aameen !
Pathetic people !
Ukikosa elimu kwa maana ya uelewa, mwombe Mungu ufe mapema. Hawa jamaa wamekosa kazi ndo maana wanabwabwaja tu!!!!
Kama ni dini ya kweli convert "Wayahudi" ambao Yesu kazaliwa na dada yao !
Enzi zetu zile, huyu Sheikh angekuwa kwenye moja ya kisiwa kinachofikwa na "wavuvi" tu. Akirudi, sensa imeisha na hadi yeye amehesabiwa!
Mfano wako wa Israel na Palestina sio sahihi, Israeli wangeachwa peke yao wangeshatandikwa siku nyingi na Wapiganaji wa Kipalestina, ila kwa vile Israel inasimamishwa na mataifa ya Magharibi, USA, UK nk