Acheni kudanganya wenzenu enyi majirani zetu. Ponda akikamatwa, au akifanyiwa uhalifu wowote hata kwa bahati mbaya. Kitakachotokea matahadithia kwa miaka hamsini mingine kwa wale watakao kua hai.
Kumbekeni nini kilitokea mombasa baada ya kupigwa risasi kwa sheikh aboud rogo, na watu eti wasiojulikana. Vijana wa kiisalamu walichukua mwili wa marehemu na kwenda kumzika kimya kimya. Walipo rudi, nadhani mlisikia nini kilichotokea. Ilibidi waombwe wazazi wa kiislamu kuwazuia watoto wao.
Yaani kama kuna maadui wa kiislamu wanaojidai kupambana na uislamu, basi jueni vijana wa kiislamu wao wamepinda zaidi. Endeleeni kuwachokoza. Kama uliangalia vizuri, zile vurugu za mbagala ziliongozwa na watoto wa madrasa tu.
Sasa mkamateni sheikh ponda, ndio mtawajua kaka zao wale watoto wa madrasa.
Ponda hayuko juu ya sheria. Anaweza kuitwa kuhojiwa wakati wowote ili kuweka jambo bayana. Hivyo mnavyo shangilia kua kakamatwa huo upotofu wa taarifa.
Ponda haongei uchochezi. Anaongea kwa hoja na ndio maana sheria haiwezi kumtia hatiani. Kuweni waelewa.
Kama ponda angekamatwa kwa staili hiyo, saa hizi tungekua tunaongea habari nyingine. Waislamu wote tunajua wajibu wetu katika kuwalinda viongozi wetu.
Wako tunao tumia busara katika hili, lakini wapo vijana wao ni kazi pale wanapo amrishwa.
Hii nchi tusipo kua na adabu na nidhamu, juu ya imani na tofauti zetu, basi msishangae tukigawana milango na madirisha.
Hatupendi tufike huko, lakini hatuko tayari kua second citizen katika nchi tulio ipagania. Mlicho tufanyia ni sawa sawa na kumtu kukuomba lifti, na wewe unampa kwa roho mmoja kama binadamu mwenzako, kumbe ni jambazi. Bahati nzuri tumeshtuka, before it is too late.
Sasa ukitaka kujua ladha ya sumu onja.
Acha kushabikia ujinga. Kwa hiyo Quran inaruhusu mauaji?
Inaruhusu unafiki na uchochezi? Inaruhusu ugaidi na wizi?
Maana kila wanapochoma makanisa au kufanya vurugu
nasikia huwa wanapora vitu. Msitake kuhalalisha maasi kwa
kutumia kivuli cha dini au kitabu...
Hapo umenena ni kiini macho tu,kuwafanya msahau halafu jamaa utamwona tena huru.
issue siyo kukamatwa huyu dogo ni kwamba watanzani tumejifunza mengi kutokana na utawala wa mwislamu. anaingia akiwa mtu safi lakini wenyewe wanakuja na kusema sasa ni wakati wetu wakimaanisha waislamu wapendelewe zaidi.wanafanya kila vurugu wanachiwa huru hukohuko polisi kisa IGP ni mwislamu!!! dawa ni kuto kumchagua RAIS MWISLAMU TENA KAMA TUNAITAKIA MEMA NCHI YEU.
Sheikh Ponda amefanya kosa gani?..tujue kwanza kisha tutajadili kitu kinachoeleweka haya ya kudandia treni tu kusema kweli wengine hatuwezi.. Tuambieni kafanya nini kufikia kukamatwa..
Sasa isiwe akamatwe kwa sababu wameamua kumtoa kafara; Ponda hajaanza leo kusema anayoyasema. Kama muda wote (miaka yote) wameweza kumvumilia imekuwaje leo waamke na kusema wanamkamata?
Kama kosa ni yale ya Mbagala au anayoyasema ukweli ni kuwa itakuwa ni kumuonea! Kosa ni la serikali inayotawala. Ukiacha mlango wazi kwenye zizi kila sikuw watu wanakuambia chui ataingia na kula mbuzi nawe ukapuuzia siku chui akiingia na kula utalaumu zizi kwanini halikufungwa?
Chezea Magamba weyeee!! Mpaka hili vuguvugu la udini linatulia wote tutakuwa tumeshasahau Mahela yaliyofichwa Uswissi na mafisadi!! Kuongoza nchi kama ya Tanzania raha sana,ukiona wanataka kukushtukia unaibua ishu kuipotezea!! Sasa naamini MAGAMBA watatawala milele wadanganyika! Sijui niombe uraia Zanzibar?
sijakuelewa kabisa mkuu hoja zako kwamba watu waujue uislam ndo wa argue...wewe pia umeargue, mfano hapo kwenye red.., una hakika napo? na kwenye blue pia, je wewe unaujua ukristo ndipo ukaargue? umefanya yaleyale unayofikiri ulitaka kuyatolea hoja yasifanywe..in short umefanya poor argument, sory kama nimekuattack..nlitaka kukurekebisha ili uwe na hoja ya msingi zaiditatizo lenu hamuujui uislam bali mnabwabwaja tu na haya yote allah keshatuambia katika quran (hawatokuwa radhi mayahudi na wakristo mpaka muwe kama wao) so tatizo letu hatuko kama nyie ndicho kinachowauma na haitotokea kamwe,mfano nyie dini yenu mnaruhusiwa usenge (ushoga) sisi hatuko ivo. aya nyingine allah anasema (hamtoabudu ninachokiabudu, nyinyi mna dini yenu na sisi tuna dini yetu) kwa mfano mnaabudia sanamu sisi tunamuabudu allah pekee
dini yetu hairuhusu udini kwani hata mtume s a w alikuwa anaihi na makafiri bila kuwabagua, tusiingiliane tu kwenye ibada zetu,
hairuhusu mauaji wala maasi ya aina yoyote kama ushoga n.k, lakini pia hairuhusiwi kudhulumu wala kudhulimiwa
my take: ujueni uislam ndipo mta argue kitu mnachokijua[/QUOTE]
duh...naona hata M4C,imesahaulika.kama ni kweli hii kitu iko stagemanaged as a diversion nawavulia kofia.
Mtakalia ponda ponda mwisho wa siku 2015,mtu anapigwa bao la kisigino.
issue siyo kukamatwa huyu dogo ni kwamba watanzani tumejifunza mengi kutokana na utawala wa mwislamu. anaingia akiwa mtu safi lakini wenyewe wanakuja na kusema sasa ni wakati wetu wakimaanisha waislamu wapendelewe zaidi.wanafanya kila vurugu wanachiwa huru hukohuko polisi kisa IGP ni mwislamu!!! dawa ni kuto kumchagua RAIS MWISLAMU TENA KAMA TUNAITAKIA MEMA NCHI YEU.
ndio maana nimeomba mods wasichanganye thread yangu, kuna issue mbili
Moja; Ponda kukamatwa na maandamano ya waislam
Mbili; Kauli ya Kova kwamba kuanzia leo lazima sheria zifuatwe, vipi kuhusu jana na siku zingine?
MODS kama inawapendeza, iacheni ile thread yangu ijitegemee, ili kule tuongee kuhusu hii kauli ya kova na kama kweli polisi wanajua wajibu wao, kwangu ni mshangao kumsikia kova anasema KUANZIA LEO sheria lazima ifuatwe, ni ulimi tu uliteleza au alikua anamaanisha? i whish ile thread ibaki kule ili tudiscuss ya kova na polisi wake
tatizo lenu hamuujui uislam bali mnabwabwaja tu na haya yote allah keshatuambia katika quran (hawatokuwa radhi mayahudi na wakristo mpaka muwe kama wao) so tatizo letu hatuko kama nyie ndicho kinachowauma na haitotokea kamwe,mfano nyie dini yenu mnaruhusiwa usenge (ushoga) sisi hatuko ivo. aya nyingine allah anasema (hamtoabudu ninachokiabudu, nyinyi mna dini yenu na sisi tuna dini yetu) kwa mfano mnaabudia sanamu sisi tunamuabudu allah pekee
dini yetu hairuhusu udini kwani hata mtume s a w alikuwa anaihi na makafiri bila kuwabagua, tusiingiliane tu kwenye ibada zetu,
hairuhusu mauaji wala maasi ya aina yoyote kama ushoga n.k, lakini pia hairuhusiwi kudhulumu wala kudhulimiwa
my take: ujueni uislam ndipo mta argue kitu mnachokijua
Mzee Mwanakijiji
Labda ya mbagala ndio yame waamsha huu sio utani tena, na ni watu gani anaowaamsha kwa fikra zake ambazo hazifai.
Let it be true na anyongwe