MWINA-TANZANIA
Member
- Oct 10, 2012
- 7
- 0
Hawa jamaa ni hatari sana kwani naona wana
pima nguvu DR.SHEIN
pima nguvu DR.SHEIN
Kwa mtu mwenye akili timamu utagundua ni mchezo tu uliochezwa hapo na hao uamsho,hapa unaweza kuona upeo mdogo wa viongozi,wafuasi na mashaka juu ya hii dini ya kiislam.Kwakweli hii dini haiaminiki hata kidogo wanaweza kufanya chochote wakati wowote na wao kuzihusisha akili zao kwenye maamuzi huwa ni kazi sana.Angalia nchi inapoelekea sasa,wanajifanya wanamcha Mungu,hivi ni mungu gani huyo anayebariki fujo na mauaji? Hii siyo dini.
Amani ya nchi inachezwa hivi hivi! Polisi waseme vyanzo vyao vya intelijensia vinasemaje. Huyu jamaa asijekuwa alitoroka na boti kufuata shehena ya silaha zilizokamatwa Somali Puntland zikitokea kwa wafadhili wao sasa baada ya dili kushindikana akajirudisha home mzima wa afya! tusema gaidi karudi home mikono mitupu bila majambia na silaha nyingine alizofuata!
waongo 2,hakutekwa wala nn walimficha,ss walichokifanya ajitokeze ili watu waone serikali imewaogopa waislam,hamna lolote tushawajua,na uzuri mnauwana wanyewe,hata askari aliyekufa mwislam...endeleeni kumficha
weka ndani huyu ghaidi kwa kusababisha mauaji,yaani ningekua kamanda wa polis mda huu wapuuz wote walioleta vurugu za kidini washaitwa marehemu mda huu.:A S-rap:
uda mmh huwa sielewi msimamo wakoakamatwe na kuhojiwa,gaidi huyu
Una akili sana. Hiyo picha inakuja kwenye ukweli.Hao UAMSHO walimficha ili wapate kisingizio cha kufanya ghasia, na baadae wakaipa serikali masaa 26 sheikh apatikane, wakati ukweli walipanga (UAMSHO) kumuachia sheikh ndani ya hayo masaa 26 waliyoipa serikali na hivyo kuonesha kama serikali imesalimu amri!
Usanii mtupu!