nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
kwa hiyo kwa kupatikanika kwake kunatuhusu nini sisi
si vizuri kulazimisha kutawala ( colo-union ) hata watawaliwa wameshajua hayo yanayotokea ndio matunda yake tanganyika isome alama za nyakati //chukua mfano wa IRELAND na IRA na hivi sasa Scotland hiyoooo hawajivunii kuwa chini ya UNITED KINGDOM //Hata mbwa geti likiwa wazi hutoka aktoroka na asirejee pamoja na kwamba unampa makombo ya chipsi na pilau tusileteane ukoloni wa kiafrikaaaaa !!!! uhuru muhimu
Yupi mmoja wapo?, Baba, Mwana au Roho? badili hapo kwenye "mungu" weka, miungu.
Kwa sababu za kiusalama inabidi makachero wamuhoji ili kujua alikuwa wapi na atoe ushirikiano, then hao waliomshikilia wabanwe ili tujue ni kina nani!. Hii itasaidia ka deal uchwara walichofanya Uamsho kadhibitiwe.
kwa nini wawakilishi wasililazimishe serekali kuengeza juhudi za kumtafuta amiri faridi ili ichi itulie badala yake wasema uamsho ifutwe
si vizuri kulazimisha kutawala ( colo-union ) hata watawaliwa wameshajua hayo yanayotokea ndio matunda yake tanganyika isome alama za nyakati //chukua mfano wa IRELAND na IRA na hivi sasa Scotland hiyoooo hawajivunii kuwa chini ya UNITED KINGDOM //Hata mbwa geti likiwa wazi hutoka aktoroka na asirejee pamoja na kwamba unampa makombo ya chipsi na pilau tusileteane ukoloni wa kiafrikaaaaa !!!! uhuru muhimu