Kujificha na kujitokeza ni mchezo mwepesi na wa kijinga, lengo polisi wa Bara waanze kuwindwa. Kama sheikh unasema uongo hadharani, unatoa picha gani kuhusu dini yako?
Hili si la dini tena. Nadhani jamaa na uamsho kwa ujumla wapo kwa maslahi ya kisiasa zaidi kuliko dini.