Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,017
- 9,885
Sheikh Mselem Ali, mmoja kati ya Masheikh wa Uamsho ambao wametoka Gerezani amesema mihadhara yao ilikuwa na nia ya kuwaamsha watu kudai Katiba Mpya.
Amesema kwa kipindi kile walifanya hivyo kwa kuwa kulikuwa na fursa ya maoni kuhusu Katiba Mpya. Walifanya hayo kwa mujibu wa sheria kwa kuwa katiba in ruhusu kila mtu kutoa mawazio au maoni yake
Aidha amesema hana chama cha siasa, na wala hana mamlaka ya kudai katiba mpya. Lakini ikitokea serikali inataka maoni kuhusu katiba mpya na wakiona anaweza kuchangia mawazo basi atashiriki.
Amesema kwa kipindi kile walifanya hivyo kwa kuwa kulikuwa na fursa ya maoni kuhusu Katiba Mpya. Walifanya hayo kwa mujibu wa sheria kwa kuwa katiba in ruhusu kila mtu kutoa mawazio au maoni yake
Aidha amesema hana chama cha siasa, na wala hana mamlaka ya kudai katiba mpya. Lakini ikitokea serikali inataka maoni kuhusu katiba mpya na wakiona anaweza kuchangia mawazo basi atashiriki.