Mr.Professional
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,582
- 258
maigizo ya marehemu kanumba yameibuka upya. Haya ngoja tusikilize story za alikokuwa lazima watu walimtia kati na hawezi kuzungumzia hilo na taratibu atajiondoa huko uamsho
.......awataje wapi wakat aljificha mwenyewe!ngoja aendelee kuwachwzea akili zao za kushikiwa
kwanini wasimteke kweli kwa sasa ?
Hao UAMSHO walimficha ili wapate kisingizio cha kufanya ghasia, na baadae wakaipa serikali masaa 26 sheikh apatikane, wakati ukweli walipanga (UAMSHO) kumuachia sheikh ndani ya hayo masaa 26 waliyoipa serikali na hivyo kuonesha kama serikali imesalimu amri!
Usanii mtupu!
Amir ameonekanwa ndani ya shimo wakimpa maji
ya chooni.
ameonekanwa maeneo ya bubwini.
Hakula kwa muda wa siku 3
Maswali aliyokuwa akiulizwa yafika 300.
Source. Uamsho face book. Mwenye kutumia laptop aingie kule kuna picha wanaziweka mm kwa sasa natumia i pad nashindwa kuzikopi
.....ni masaa 26 ndo yaliyowatisha!