arabianfalcon
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 2,285
- 584
Habari zenu. Nimemwita shangazi yangu kipenzi ili aje kumuona my wife wangu mpya,basi baada ya kumuona na kumtambulisha kwa mke wangu huyo,shangazi wala hakunichelewesha akaniambia mbele ya my wife wangu,kwanini nimeoa mke mbaya kama bundi? Basi mke wangu yuko kwenye mgomo,hamtaki shangazi yangu awepo hapa nyumbani kwetu na kuniambia nimrudishe nyumbani(Tz) nifanyeje jamani shangazi yangu aendelee kuwepo hapa kama mwezi? Nalog off
Shangazi yako nae mpana, jaribu kumfamisha shangazi yako kua hiyo ni mkeo na ndio ulie mchagua na unampenda kwa moyo wako wote,
na yeye akiwa kama shangazi ajiheshimu sababu huyu mkeo ni mwanamke kama yeye akamjibu maneno yasio faa atasema ametukanwa? mwambia awe mstarabu na ukizingatia yeye ni mtu mzima....