Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,652
- 13,077
Habari zenu. Nimemwita shangazi yangu kipenzi ili aje kumuona my wife wangu mpya,basi baada ya kumuona na kumtambulisha kwa mke wangu huyo,shangazi wala hakunichelewesha akaniambia mbele ya my wife wangu,kwanini nimeoa mke mbaya kama bundi? Basi mke wangu yuko kwenye mgomo,hamtaki shangazi yangu awepo hapa nyumbani kwetu na kuniambia nimrudishe nyumbani(Tz) nifanyeje jamani shangazi yangu aendelee kuwepo hapa kama mwezi?
YANAYOJIRI
Mpaka sasa shangazi kagoma kuomba msamaha na pia kagoma kwenda kukaa hoteleni na mie nimemuomba mke wangu aende nyumbani kwao akapumzike kidogo mpaka shangazi atakapoondoka
Nalog off
YANAYOJIRI
Mpaka sasa shangazi kagoma kuomba msamaha na pia kagoma kwenda kukaa hoteleni na mie nimemuomba mke wangu aende nyumbani kwao akapumzike kidogo mpaka shangazi atakapoondoka
Nalog off