Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kukurupuka weweKweli linaleta uchochezi, Very GOOD serikali imeliona
itakuwa vizuri kulifungia
Watafungia gazeti hawawezi kufungia mawazo
Kweli linaleta uchochezi, Very GOOD serikali imeliona
itakuwa vizuri kulifungia
You can fool the people for sometime but you cant fool all the people all the time.awake tanzania the time is now and not no more sleep.
hakuna haja ya kuchekeana kama serikali yao inavyofanya, ametoa shutuma aseme! na afungie kabisa gazeti hilo.
Kwa mara nya kwanza katika historia ya nchi hii, achilia mbali ya ujio wa vyama vingi, CCM imeanza ku-PANIC!!! HA HA HA!!!! Hii kali kweli kweli!! Magazeti yanayotishiwa kufungiwa Mwananchi na Mwanahalisi ndiyo magazeti pekee yenye kuchapisha nakala nyingi kuliko yote, ukiachia yale ya akina Shigongo (ya udaku).
Mengineyo mengi hasa yale yanayoitetea CCM na ufisadi wake hakuna mtu anayeyataka, hubakia kupauka kwenye meza za mauzo na huishia kuuzwa kwa kilo kwa ajili ya kufungia mandazi.
C-mon CCM. Be a man as you claim to be. Pingana na hoja za magazeti hayo kwa hoja, siyo kwa vitisho. Tatizo lako CCM ni kwamba sera yako unayoonyesha ya kuwatetea mafisadi imekwama kwenye matope kwa sababu inawanufaisha wachache tu. Ondokana na wahindi hao, wanakupoteza bure na kutaka kuleta vurugu nchini.