Nyamesocho
JF-Expert Member
- May 5, 2023
- 476
- 1,244
Katika toleo la leo tarehe 4 Januari 2024 gazeti kubwa nchini Tanzania limeibua hoja ya wizi wa mitihani unaondeshwa na kusimamiwa na Baraza la mitihani Tanzania
Hili gazeti kwa taarifa hii wamechafua serikali na taasisi zake zinazosimamia ufanyikaji wa mitihani Tanzania na ikumbukwe elimu ndo injini namba moja Tanzania na Taifa lingine katika kuendesha mambo ya kitaalamu
Madhara yake ni nini kwa kashifa hii kwa Taifa
1, Wataalamu waliopo Tanzania ni wa kubumba( hawana vigezo bali kwa wizi wa mitihani) kwa habari hii nchi za nje wanaweza kudharau Wataalamu kutoka Tanzania
2,Wananchi wataanza kupoteza imani na serikali iliyopo madarakani kwa kutosimamia mitihani ipasavyo na matokeo yake ni mapinduzi kwa serikali iliyopo madarakani
3,Walimu wataonekana wanakula mishahara bure kwamba hawafundishi badala yake wanasubiri kuiba mitihani ili wanafunzi wafaulu
4,Kwamba Wataalamu wetu hawataaminika kwa kile wanachokifanya, kwamba si Wataalamu bali ni utaalamu wa wizi wa mitihani (Wataalamu fake)
Kwa matinki hiyo hili gazeti lilipaswa kufanya yafuatayo
Mtihani ni siri kwa Taifa na ndicho kipimo cha kupata Wataalamu katika Taifa hivyo Mwananchi angeandika waraka wa Siri kwa mamlaka husika ili kukamata mtandao huo na wangekuja na kichwa cha habari "Jinsi Mwananchi alivyosaidia kukamata mtandao unaochafua Baraza la mitihani"
Kwa mantiki hii naomba gazeti hili lifute hiyo habari mtandaoni na kuomba radhi wananchi, serikali na walimu
Hili gazeti kwa taarifa hii wamechafua serikali na taasisi zake zinazosimamia ufanyikaji wa mitihani Tanzania na ikumbukwe elimu ndo injini namba moja Tanzania na Taifa lingine katika kuendesha mambo ya kitaalamu
Madhara yake ni nini kwa kashifa hii kwa Taifa
1, Wataalamu waliopo Tanzania ni wa kubumba( hawana vigezo bali kwa wizi wa mitihani) kwa habari hii nchi za nje wanaweza kudharau Wataalamu kutoka Tanzania
2,Wananchi wataanza kupoteza imani na serikali iliyopo madarakani kwa kutosimamia mitihani ipasavyo na matokeo yake ni mapinduzi kwa serikali iliyopo madarakani
3,Walimu wataonekana wanakula mishahara bure kwamba hawafundishi badala yake wanasubiri kuiba mitihani ili wanafunzi wafaulu
4,Kwamba Wataalamu wetu hawataaminika kwa kile wanachokifanya, kwamba si Wataalamu bali ni utaalamu wa wizi wa mitihani (Wataalamu fake)
Kwa matinki hiyo hili gazeti lilipaswa kufanya yafuatayo
Mtihani ni siri kwa Taifa na ndicho kipimo cha kupata Wataalamu katika Taifa hivyo Mwananchi angeandika waraka wa Siri kwa mamlaka husika ili kukamata mtandao huo na wangekuja na kichwa cha habari "Jinsi Mwananchi alivyosaidia kukamata mtandao unaochafua Baraza la mitihani"
Kwa mantiki hii naomba gazeti hili lifute hiyo habari mtandaoni na kuomba radhi wananchi, serikali na walimu