The Invincible
JF-Expert Member
- May 6, 2006
- 6,003
- 3,269
Hicho kijarida cha mwananchi ni cha kipuuzi kinataka kuleta machafuko kama walivofanya kule kwao kenya,washindwe na walegee wana mapepo hao mwananchi.Hata kikifutwa hakitakuwa na impact yoyote kwani kijarida cha nje ya nchi ni sawa na kutumbukiza kijiko cha sukari katika bahari ya hindi.Wafutiliwe mbali hao mavuvuzela,hawana sera zaidi ya uchonganishi na uzushi kama mgombea wanaomshabikia aliyeshindwa kabla ya upigaji wa kura ,ni yule mwenye sura ya kisomali na anayeongea kama amekula chura,aliyeanguka bafuni akip...............
Nilidhani nimemaliza kuhesabu vibwengo wa CCM...