Serikali yakimbia bungeni, yaogopa mapigo ya upinzani, spika ainusuru kwa kuahirisha Bunge

Hivi unataka huku tuanze kutoa solutions! Ni sawa na baba anayewaambia watoto wake wasilalamike! Watoe solutions! Maajab
 
Bi kiroboto,ndungai,mapumba,cjui mteja wa unga kila niwaonapo nahisi kuharisha.....utadhani vichwani wamejaa ugali,hatutafika kwa upuuzi huu.
 
jana usiku walikaa caucus ya chama chao na kukubaliana kuwa sheria ya kodi ambayo wanaiwasilisha hawataeleweka kwa watanzania na hivyo wataendelea kuwapa credit cdm kwani walikuwa wanaenda kuongeza kodi kwenye maji ya kunywa kwa asilimia 17, kodi ya vat kwenye maziwa, kusamehe kodi ya vat kwenye bidhaa zote zinazotumiwa na makampuni ya madini nchini nk.

Hali ni mbaya sana ndani ya ccm hasa wakati huu wanapokua wanaelekea kwenye uchaguzi wa chama chao ,



kawaida mtihani huwa unasahihishwa na mwl au mtu mwingine, wasiwasi wangu ni kuwa inawezekana wakachanganya hata zaidi ya iliyoandaliwa kwa muda kutosha. "same level of thinking"
 
Sioni uhusiano Kati ya kinachotokea bungeni na M4C. Achaneni kulazimisha agenda. Serekali inafanya kazi kwa utashi na umakini mkubwa. Mkipewa mtafanya nini wakati hata mkononi hamuenei
 
Wazee wa liwalo na liwe hao,wakiongea wapoole kumbe nyuma ya pazia...wakati mwingine huwa najiuliza hawa mabwana wanafanya haya kwa makusudi au kweli hawajui! Inauma sana.
 
Hatufiki kwa kuwa na watu kama wewe. Unaanzisha thread, unaonyesha problem basi hata kama huna solution omba wachangiaji wanaofuata wachangie kutoa solution. Badala ya kufanya unaanza kuelekeza malalamiko na thread nzima ijae malalamiko badala ya kujaa solution.
Sasa hii ndio solution yako? Mbona na wewe unalalamika? Jadili hoja
 
Sifa za kijinga, ndio maana kina mnyika wanapata viburi, wanatembelea sana JF.wakikuta topic kama hizi wanaziamini na kujiona miungu watu.
 
Sifa za kijinga, ndio maana kina mnyika wanapata viburi, wanatembelea sana JF.wakikuta topic kama hizi wanaziamini na kujiona miungu watu.............

Asa na we ndo walewale magamba wajinga wenzio wakikosolewa wee unaleta siasa. Akili mgando kabisa.

These guyz need a farewell wamechoka hata kufikiri hawawezi tena CCM z dying m4c ndo inaamsha watz vijijini, uliza Arumeru tukujuze yaliyojiri chezea CDM ww.

 
Mi cjui watakimbia mpaka lini, na hata ikibidi waruke but wameshikwa pabaya

  • :flypig:
 
Kama bunge litaahirishwa leo jioni, vipi kuhusu report ya wabunge wanaotuhumiwa na ufisadi wa Tanesco, pia kujadiliwa upya kwa mswaada wa mafao ya uzeeni?
 
Ukisikai muziki wa dansi ndiyo huo!!! Ni mziki mzito sana na 2015 wananchi watasaula saula kabisa!!!
 
Sioni uhusiano Kati ya kinachotokea bungeni na M4C. Achaneni kulazimisha agenda. Serekali inafanya kazi kwa utashi na umakini mkubwa. Mkipewa mtafanya nini wakati hata mkononi hamuenei

kama ni wehu, bac we ni mwehu wa kwanza. Yani unashindwa hata kulink vi2, umezoea 'spoon feeding', kama hawaogopi wangesoma bac, na wangesoma pia madai ya madaktari yakajadiliwa na wabunge!
 
Nasema hatuwezi kubadilisha chochote kwa kulalamika. Kama serikali imeshindwa kubadilika sisi wananchi ndiyo tunatakiwa kubadilika na kuwa na fikra zenye kuona mbali na kutumia fursa zilizopo kuliko kulalamika. Bunge limefanya lilichokifanya kulinda maslahi ya serikali yes, wewe ulitegemea lifanye nini? wabunge wanafaidika na mfumo uliopo, sasa unategemea waukosowe ili wakose kula? tatizo liko kwangu mimi na wewe ambao tunadhani mfumo haututendei haki. Kwa kuwa siyo rahisi mfumo huo kubadilika maana kwa kufanya hivyo wataacha kunufaika ni wakati na mimi na wewe kubadilika.
 
Unajua kuna kipindi hawa jamaa huwa wanajisahau kuwa wanawakilisha inchi sasa wanairisha bunge on what grounds wakati kuna issue kibao pending has ili la mafao
If its a public concern kwa nini wasiextend mda liwe discussed.
Yaani mambo ya msingi wanyadharau na kutilia maanani mambo yasiyo na tija kwa mtanzania wa kawaida
 
Back
Top Bottom