Leo katika historia ya Bunge la Tanzania, kumetokea kituko Bungeni. Kituko namba moja ni kutowasilishwa kwa hati mezani (Finance Bill) na kituko cha pili ni kutosomwa kwa Finance Bill kama ilivyokuwa imeoneshwa kwenye ORDER PAPER YA LEO.
Kuna tetesi kwamba Serikali ilimwomba Spika ailinde kwa kutoruhus mswada huo kuwasilishwa bungeni kwa kuwa ulikuwa na mapungufu mengi sana na kwa maana hiyo ungepondwa sana na Upinzani jambo ambalo limeiogopesha Serikali na hivyo kutafuta EXIT kwa Spika.
Ijulikane kwamba kwa kuahirisha bunge hadi saa kumi ni kwamba sasa wabunge hawatapata tena nafasi ya kutosha kujadili mswada huo kwa kuwa bunge litamaliza shughuli zake na kuahirishwa hadi Novemba leo jioni.
Pata Picha jinsi Spika anavyoikingia serikali dhidi ya makombora ya Upinzani. TUTAFIKA KWA STYLE HII?
Kuna tetesi kwamba Serikali ilimwomba Spika ailinde kwa kutoruhus mswada huo kuwasilishwa bungeni kwa kuwa ulikuwa na mapungufu mengi sana na kwa maana hiyo ungepondwa sana na Upinzani jambo ambalo limeiogopesha Serikali na hivyo kutafuta EXIT kwa Spika.
Ijulikane kwamba kwa kuahirisha bunge hadi saa kumi ni kwamba sasa wabunge hawatapata tena nafasi ya kutosha kujadili mswada huo kwa kuwa bunge litamaliza shughuli zake na kuahirishwa hadi Novemba leo jioni.
Pata Picha jinsi Spika anavyoikingia serikali dhidi ya makombora ya Upinzani. TUTAFIKA KWA STYLE HII?