Serikali yakimbia bungeni, yaogopa mapigo ya upinzani, spika ainusuru kwa kuahirisha Bunge

Mhe. Spika ameahirisha Bunge tena jioni hii kwa dakika 10 baada ya Waziri wa Fedha kuitwa na kuwasilisilisha Financial Bill na Kubaini kuwa hajaingia bungeni. Ikumbukwe leo asubuhi pia Bunge liliahirishwa.
 
Ndugu wananchi, kwa mara nyingine Serikali imeshindwa kudhihirisha uwepo wake bungeni na kusababisha kikao cha bunge kuahirishwa tena kwa dakika kumi.

Hii ni dalili ya kushindwa kwa Serikali yaani State Collapse. ILE DHANA YA DHAIFU IMEJIDHIHIRISHA
 
Ndugu wananchi, kwa mara nyingine Serikali imeshindwa kudhihirisha uwepo wake bungeni na kusababisha kikao cha bunge kuahirishwa tena kwa dakika kumi.

Hii ni dalili ya kushindwa kwa Serikali yaani State Collapse. ILE DHANA YA DHAIFU IMEJIDHIHIRISHA...............
Hebu jipange.
 
Ni baada ya kuona hotuba ya upinzani baada ya kuwasilishwa bungeni asubuhi na kuona jinsi hotuba ya upinzani yenye mapendekezo ambayo serikali haikuyazingatia kwa kiasi kikubwa hivyo spika aliamuru kuahirishwa bunge hadi jioni.
 
AIBU AIBU AIBU!!!!!!

Serikali leo imeonesha udhaifu mkubwa sana kwa kukimbia bakora ya bunge kwa kutojiandaa vema katika kuwasilisha muswada wa fedha "FINANCE BILL" na kusababisha bunge kuahirishwa mara mbili mfululizo.

Kwa mtindo huo, niombe tu CHADEMA wajiandae kukamata madaraka ya DOLA kwani Serikali iliyopo imeshakubali yaishe.
 
Hujasomeka mkuu!!au mlikuwa mnashindana kuwahisha ripoti?kuna mwingine hapo kona nae kaja na chenga hizihizi.
 
Ni baada ya kuona hotuba ya upinzani baada ya kuwasilishwa bungeni asubuhi na kuona jinsi hotuba ya upinzani yenye mapendekezo ambayo serikali haikuyazingatia kwa kiasi kikubwa hivyo spika aliamuru kuahirishwa bunge hadi jioni.
sijakuelewa
 
wanajamvi kwani hiyo finance bill haijapitishwa, labda sielewi kwani baada ya budget kupitishwa mara moja TRA wameanza kutumia Finance Bill kwa kodi zilizoongezwa, mpya n.k. wanatumia vipi bila kupitishwa na bunge kama act?
 
Chama cha kikanda , Chama cha msimu,Chama cha wachache inakuwaje CCM inakimbia wanaogopa nini?
 
kama ni wehu, bac we ni mwehu wa kwanza. Yani unashindwa hata kulink vi2, umezoea 'spoon feeding', kama hawaogopi wangesoma bac, na wangesoma pia madai ya madaktari yakajadiliwa na wabunge!


Hata Yesu wakati fulani aliongea "high level argument" akawa hajibu maswali. akawaambia hamuwezi kuelewa kwa sasa. Nadhani huyo jamaa ambaye hawezi kulink mambo, tusimlazimishe kwanza, mwacheni, wakati ukifika ataelewa
 
Hakuna serikali iliyoanguka na hakuna chama kinachoogopa wabunge walalamikaji toka upinzani
 
Back
Top Bottom