Bungeni: Naibu Spika vs wabunge upinzani

Dr James G

Senior Member
Oct 16, 2016
147
242
Wabunge wa viti maalumu wa upinzani hawako huru kabisa kujadili bungeni kutokana na kupigwa mikwara na kiti Mara zote wanapochangia, kiti kinatakiwa kikubali kuwa hoja za wapinzani sio lazima ziwe za kufurahisha Serikali tu wakati wote, wapo kwa kuleta mawazo tofauti kwa maslahi mapana ya nchi na kukosoa huo ndio utamu wa bunge la vyama vingi vya Siasa.

Sasa Leo mh naibu spika amepaniki kwa issue ndogo sanaaaaaa na kudiriki kusema Kama sio mwezi mtukufu wa Ramadhan angetoa adhabu kali sana kwa mh Ester Bulaya wakati mh Ester Matiko akichangia upungufu wa rasimali watu ktk sekta ya elimu na afya.

Je sababu ya wabunge Hawa kupigwa mikwara na wao kukaa kikmya ni kutokana na uhalali wao kuwepo bungeni? Inasikitisha sana Bunge letu.
 
Wabunge wa viti maalumu wa upinzani hawako huru kabisa kujadili bungeni kutokana na kupigwa mikwara na kiti Mara zote wanapochangia ,kiti kinatakiwa kikubali kua hoja za wapinzani sio lazima Ziwe za kufurahisha serikali tu wakati wote ,wapo kwa kuleta mawazo tofauti kwa maslahi mapana ya nchi na kukosoa huo ndio utamu wa bunge la vyama vingi vya Siasa. Sasa Leo mh nabiu spika amepaniki kwa issue ndogo sanaaaaaa na kudiriki kusema Kama sio mwezi mtukufu wa Ramadhan angetoa adhabu kali sana kwa mh Ester Bulaya wakati mh Ester Matiko akichangia upungufu wa rasimali watu ktk secta ya elimu na afya .

Je sababu ya wabunge Hawa kupigwa mikwara na wao kukaa kikmya ni kutokana na uhalali wao kuwepo bungeni? Inasikitisha sana Bunge letu .
Acha tu mkuu wakutane nacho! Waliambiwa tangu mapema! Waachane kabisa na bunge la maccm! Wakashupaza shingo! Maskin sasa hivi ni wapweke kama watoto yatima! Wanakosa hata faraja yetu tulio nje ya bunge
 
Wabunge wa viti maalumu wa upinzani hawako huru kabisa kujadili bungeni kutokana na kupigwa mikwara na kiti Mara zote wanapochangia ,kiti kinatakiwa kikubali kua hoja za wapinzani sio lazima Ziwe za kufurahisha serikali tu wakati wote ,wapo kwa kuleta mawazo tofauti kwa maslahi mapana ya nchi na kukosoa huo ndio utamu wa bunge la vyama vingi vya Siasa. Sasa Leo mh nabiu spika amepaniki kwa issue ndogo sanaaaaaa na kudiriki kusema Kama sio mwezi mtukufu wa Ramadhan angetoa adhabu kali sana kwa mh Ester Bulaya wakati mh Ester Matiko akichangia upungufu wa rasimali watu ktk secta ya elimu na afya .

Je sababu ya wabunge Hawa kupigwa mikwara na wao kukaa kikmya ni kutokana na uhalali wao kuwepo bungeni? Inasikitisha sana Bunge letu .
Wabunge uliowataja sio wa upinzani ni WA chama ha ndugai na magufuli.
 
Wabunge wa viti maalumu wa upinzani hawako huru kabisa kujadili bungeni kutokana na kupigwa mikwara na kiti Mara zote wanapochangia ,kiti kinatakiwa kikubali kua hoja za wapinzani sio lazima Ziwe za kufurahisha serikali tu wakati wote ,wapo kwa kuleta mawazo tofauti kwa maslahi mapana ya nchi na kukosoa huo ndio utamu wa bunge la vyama vingi vya Siasa. Sasa Leo mh nabiu spika amepaniki kwa issue ndogo sanaaaaaa na kudiriki kusema Kama sio mwezi mtukufu wa Ramadhan angetoa adhabu kali sana kwa mh Ester Bulaya wakati mh Ester Matiko akichangia upungufu wa rasimali watu ktk secta ya elimu na afya .

Je sababu ya wabunge Hawa kupigwa mikwara na wao kukaa kikmya ni kutokana na uhalali wao kuwepo bungeni? Inasikitisha sana Bunge letu .


Maana ya Bunge inapotea kabisa , Yan dakika ni sita, then wanataka utumie dakika tatu kusifia Tu mambo gani sasa hayo.?

Sasa why wako bungeni kama Kila kitu kipo sawa?

Inatakiwa kutoa changamoto ili kuboreshwe sasa wao hawataki hayo mambo wanataka sifa tu
 
Acha tu mkuu wakutane nacho! Waliambiwa tangu mapema! Waachane kabisa na bunge la maccm! Wakashupaza shingo! Maskin sasa hivi ni wapweke kama watoto yatima! Wanakosa hata faraja yetu tulio nje ya bunge

Inasikitisha wanakoromewa sana
 
Back
Top Bottom