Serikali Ya Rais Samia yapongezwa Na Wafanyabiashara, Waahidi kumuunga mkono kwa kulipa Kodi kwa uaminifu

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Jul 28, 2022
15,606
10,002
Ndugu zangu wafanyabiashara mbalimbali wameipongeza Serikali Ya Rais Samia kwa kuwasaidia kufanya Biashara kwa Amani na utulivu kwa kuzingatia Sheria kanuni na Taratibu,wafanya Biashara wamefurahishwa na namna wanavyopata ushirikiano kutoka kwa serikali yao,wanafurahishwa na namna Elimu hasa Elimu ya mlipa Kodi inavyotolewa katika kuwaelimisha masuala mbalimbali ya Kikodi.

Sasa wafanya Biashara wanajisikia fahari kulipa Mapato kwa ajili ya ujenzi wa Taifa lao,hawana wasiwasi na yeyote maana wanatekeleza wajibu wao wa kulipa Kodi vyema,Sasa watu wengine pia Wana hamasika katika kufungua biashara mbalimbali,Hakuna vitisho Wala kutishiana,hakuna kukomolewa katika ukadiriaji wa mapato Wala kuviziana mabarabarani, ma ofisa wa TRA wanazungumza na wafanyabiashara kirafiki na kutoa Elimu bila shida,

Hakuna anayefunga Biashara kwa sababu ya kufirisiwa kwa uonezi au chuki binafsi au Hakuna anayebubujikwa machozi kwa sababu kafungiwa Biashara kiuonezi, wafanyabiashara wote Wana amani na Imani na Serikali ya Rais Samia,wote Wana muunga mkono na kuwa Tayari kulipa Mapato kwa hiyari ili fedha hizo zisaidie katika kuinua na kujenga miradi ya kimaendeleo.

Hakika Rais Samia Amewasha Taa ya furaha na matumaini ya kusonga mbele kibiashara kwa wafanyabiashara, Wana Imani kubwa Sana na serikali yao, wanaona na kufurahishwa na namna serikali yao ikikusanya Kodi kwa haki pasipo kuwaliza na kuwaumiza,kuwadidimiza na kuwafirisi

Sasa wafanyabiashara wameamua kumuunga mkono Rais Samia na serikali Yake,wanataka faida waipatayo irejee katika jamii yao kuleta maendeleo ya pamoja,wanataka kuona serikali yao inakusanya fedha za kutosha kwa ajili ya kuwahudumia watanzania,wanataka serikali yao ikusanye Kodi za kuboresha Miundombinu ya Barabara kila mahali ili wasafirishe bidhàa zao bila shida na kwa gharama nafuu,

Hongera Sana Rais wetu Jasiri,shupavu , imara,Hodari, madhubuti Na mzalendo wa kweli, Hakika Rais wetu Anastahili pongezi kwa namna alivyoshamirisha Biashara hapa nchini kwa kuweka mazingira mazuri na rafiki kwa wafanya Biashara, Rais Samia amepanda na kuamsha mbegu ya Uzalendo katika mioyo ya wafanyabiashara katika kulipa Mapato kwa hiyari na kwa wakati pasipo kutumia nguvu na mabavu

Uongozi Ni hekima na busara,Rais Samia Ni Mwingi wa Hekima Na Busara katika kifua chake na ulimi wake.

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627
 
Dogo, chukua this Brotherly advice, tafuta kazi achana na Siasa, hailipi zaidi ya kuwa mwizi, muongo na mzandiki
Kama ana akili umemshauli kitu cha muhim sana.Mwanaume unakaa kila mara unamsifu mtu hii ni ishara ya unafiki na uzembe na kutaka vya dezo...
 
sana.Mwanaume unakaa kila mara unamsifu mtu hii ni ishara ya unafiki na uzembe na kutaka vya dezo...
73277050_139285434118507_3215921951893618688_n.jpg
 
Ndugu zangu wafanyabiashara mbalimbali wameipongeza Serikali Ya Rais Samia kwa kuwasaidia kufanya Biashara kwa Amani na utulivu kwa kuzingatia Sheria kanuni na Taratibu,wafanya Biashara wamefurahishwa na namna wanavyopata ushirikiano kutoka kwa serikali yao,wanafurahishwa na namna Elimu hasa Elimu ya mlipa Kodi inavyotolewa katika kuwaelimisha masuala mbalimbali ya Kikodi.

Sasa wafanya Biashara wanajisikia fahari kulipa Mapato kwa ajili ya ujenzi wa Taifa lao,hawana wasiwasi na yeyote maana wanatekeleza wajibu wao wa kulipa Kodi vyema,Sasa watu wengine pia Wana hamasika katika kufungua biashara mbalimbali,Hakuna vitisho Wala kutishiana,hakuna kukomolewa katika ukadiriaji wa mapato Wala kuviziana mabarabarani, ma ofisa wa TRA wanazungumza na wafanyabiashara kirafiki na kutoa Elimu bila shida,

Hakuna anayefunga Biashara kwa sababu ya kufirisiwa kwa uonezi au chuki binafsi au Hakuna anayebubujikwa machozi kwa sababu kafungiwa Biashara kiuonezi, wafanyabiashara wote Wana amani na Imani na Serikali ya Rais Samia,wote Wana muunga mkono na kuwa Tayari kulipa Mapato kwa hiyari ili fedha hizo zisaidie katika kuinua na kujenga miradi ya kimaendeleo.

Hakika Rais Samia Amewasha Taa ya furaha na matumaini ya kusonga mbele kibiashara kwa wafanyabiashara, Wana Imani kubwa Sana na serikali yao, wanaona na kufurahishwa na namna serikali yao ikikusanya Kodi kwa haki pasipo kuwaliza na kuwaumiza,kuwadidimiza na kuwafirisi

Sasa wafanyabiashara wameamua kumuunga mkono Rais Samia na serikali Yake,wanataka faida waipatayo irejee katika jamii yao kuleta maendeleo ya pamoja,wanataka kuona serikali yao inakusanya fedha za kutosha kwa ajili ya kuwahudumia watanzania,wanataka serikali yao ikusanye Kodi za kuboresha Miundombinu ya Barabara kila mahali ili wasafirishe bidhàa zao bila shida na kwa gharama nafuu,

Hongera Sana Rais wetu Jasiri,shupavu , imara,Hodari, madhubuti Na mzalendo wa kweli, Hakika Rais wetu Anastahili pongezi kwa namna alivyoshamirisha Biashara hapa nchini kwa kuweka mazingira mazuri na rafiki kwa wafanya Biashara, Rais Samia amepanda na kuamsha mbegu ya Uzalendo katika mioyo ya wafanyabiashara katika kulipa Mapato kwa hiyari na kwa wakati pasipo kutumia nguvu na mabavu

Uongozi Ni hekima na busara,Rais Samia Ni Mwingi wa Hekima Na Busara katika kifua chake na ulimi wake.

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627

Deni la taifa limefika asilimia 56% ya GDP ya taifa. Jadili hilo achana na pongezi.
 
Mimi Ni mkulima ninayeshinda shambani na Wala sijabweteka Kama wewe
Ww sio mkulima sema uko shamba tu huko unataabika mm asili yangu ni kilimo na ufugaji hakuna mkulima anae hangaika kusifu na kuabudu hasa kipindi hiki cha kuhangaika na kilimo..Bro maisha ni kupambana ulishe watoto wako jasho lako sio la kinafiki na dhuruma...achana na hao watu tafuta chako kwa jasho na si uchawa.
 
Haya kawaandikie wanyasa wenzako kule Malawi huenda wakakutunuku PhD ya uchawa uliotukuka na ikikufaa tumia njia za kitamaduni kupata unachokitafuta kwani maandishi na jf vitakuchelewesha kuwa DC!
huyu jamaa tunamshauri kila wakati kwa njia hii uteuzi atausikia kwenye bomba....kumbe ni mnyasa 😃
 
Back
Top Bottom