William John 67
Member
- Jul 11, 2009
- 34
- 1
Hawa jamaa kina Mengi sijui kwa nini tunawakumbatia mpaka sasa na kuwaona eti wao wanasaidia sana jamii.
Ukweli ni kwamba wanatumia pesa zetu kujitangaza wao,pesa za walala hoi ndio wanatumia.
Lakini Rostam alisema kuwa Mengi kaiuzia NICO kampuni yake iliyofilisika sisi hatukusikia sasa ndio haya.
Viongozi wote wapelekwe mahakamani na wafilisiwe pesa zetu zirudi
Ukweli ni kwamba wanatumia pesa zetu kujitangaza wao,pesa za walala hoi ndio wanatumia.
Lakini Rostam alisema kuwa Mengi kaiuzia NICO kampuni yake iliyofilisika sisi hatukusikia sasa ndio haya.
Viongozi wote wapelekwe mahakamani na wafilisiwe pesa zetu zirudi