Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,677
- 46,355
Mfundishiwe katika makanisa na misikiti yenuZibaki hapo hapo,
Mungu ana umuhimu ktk maisha yetu,
Wazazi hawana muda wa kukaa na watoto, huko mashuleni nahisi ni muhimu wakafundishwa.
Mfundishiwe katika makanisa na misikiti yenuZibaki hapo hapo,
Mungu ana umuhimu ktk maisha yetu,
Wazazi hawana muda wa kukaa na watoto, huko mashuleni nahisi ni muhimu wakafundishwa.
Usitupangie.Mfundishiwe katika makanisa na misikiti yenu
Majitu majinga kama ww huwa mengi sana nani kasema huko kanisani hamuwez kutoa hiyo elimuUsitupangie.
Tangu watoto walivyoacha kufundishwa mashuleni, wahuni wamepenyeza USHOGA unafundishwa mashuleni,
Tunakuja mashuleni kuwaambia NDOA ni Rasmi, kati ya mume na mke pekee.
Amen
Usitupangie.Majitu majinga kama ww huwa mengi sana nani kasema huko kanisani hamuwez kutoa hiyo elimu
Shida mapumbavu kama wewe mko wengi kuliko werevuuuUsitupangie.
Dini haina RESEARCH METHODOLOGY, Iman haina kipimo cha uhakikaal, DINI is opium of the people...DINI INATENGENEZA UTUMWA, inaleta ubaguzi..katiba haitambui dini km mhimili unaojitosheleza...dini NI ubunifu wenye tija hana. Hivi kundi lililokaaa kupitisha combination za dini sijuh Sura zao zinafananaje, sishangai kukuta wote NI wanawake walipisha...sibora na VIKOBA ingepewa combination na kubet...Bado haujajibu. Nini madhara ya kufundishwaa dini shuleni?
Na kwanini umfundishe mtoto habari za kufikirika zisizo na ushahidi?Bado haujajibu. Nini madhara ya kufundishwaa dini shuleni?
Mungu ni kitu cha kufikirika tu hakina uhalisia hata kidogoDini mbili tu.hayo madhehebu yapo ndani ya dini hizo mbili.kikubwa kumjua mungu kwanza
Wakatoliki waliliona hili zamani sana.Baada ya lile la Udom kufeli wakajua kuwa watoto wa mama wa kambo watakuja na mbinu mpya ya kufaulisha vilaza wao.Wakaamua kuanzisha shule kila parokia na chuo kikuu kila jimbo.Mnakuja kutengeneza mazombi.Hapo ndio wamefanya vyema zaidi na kukua kimitaala.
Hatuwezi kurudi nyuma tukaacha dini badala tukaongozwa na kandanda.
Tutakuwa sisi na mashetani na wanayama hatuna tofauti.
Wapagani wanafundishwa na nani??Watoto wakifundishwa dini zao mnapungukiwa nini?