Usitupangie.Mfundishiwe katika makanisa na misikiti yenu
Majitu majinga kama ww huwa mengi sana nani kasema huko kanisani hamuwez kutoa hiyo elimuUsitupangie.
Tangu watoto walivyoacha kufundishwa mashuleni, wahuni wamepenyeza USHOGA unafundishwa mashuleni,
Tunakuja mashuleni kuwaambia NDOA ni Rasmi, kati ya mume na mke pekee.
Amen
Usitupangie.Majitu majinga kama ww huwa mengi sana nani kasema huko kanisani hamuwez kutoa hiyo elimu
Shida mapumbavu kama wewe mko wengi kuliko werevuuuUsitupangie.
Dini haina RESEARCH METHODOLOGY, Iman haina kipimo cha uhakikaal, DINI is opium of the people...DINI INATENGENEZA UTUMWA, inaleta ubaguzi..katiba haitambui dini km mhimili unaojitosheleza...dini NI ubunifu wenye tija hana. Hivi kundi lililokaaa kupitisha combination za dini sijuh Sura zao zinafananaje, sishangai kukuta wote NI wanawake walipisha...sibora na VIKOBA ingepewa combination na kubet...Bado haujajibu. Nini madhara ya kufundishwaa dini shuleni?
Na kwanini umfundishe mtoto habari za kufikirika zisizo na ushahidi?Bado haujajibu. Nini madhara ya kufundishwaa dini shuleni?
Mungu ni kitu cha kufikirika tu hakina uhalisia hata kidogoDini mbili tu.hayo madhehebu yapo ndani ya dini hizo mbili.kikubwa kumjua mungu kwanza
Wakatoliki waliliona hili zamani sana.Baada ya lile la Udom kufeli wakajua kuwa watoto wa mama wa kambo watakuja na mbinu mpya ya kufaulisha vilaza wao.Wakaamua kuanzisha shule kila parokia na chuo kikuu kila jimbo.Mnakuja kutengeneza mazombi.Hapo ndio wamefanya vyema zaidi na kukua kimitaala.
Hatuwezi kurudi nyuma tukaacha dini badala tukaongozwa na kandanda.
Tutakuwa sisi na mashetani na wanayama hatuna tofauti.
Wapagani wanafundishwa na nani??Watoto wakifundishwa dini zao mnapungukiwa nini?
Mkuu umeongea jambo la msingi sana lakini sidhani kama haya mapumbavu yaliyovimbiwa na kodi za walalahoi yatakusikia na kukuelewa.Nimeona wameongeza combi nyingi sana kwenye kwenye elimu ya advance jambo zuri ila lina ubaya wake pia
Niende kwenye mada nchi yetu sio ya kidini yaani haifungamani na dini yeyote ile sasa serikali kwanini imeweke masomo ya dini ya kiislam na kikristo kwenye mtaahala ni kurudisha nyuma taifa letu na kuleta mkanganyiko hizo elimu zitolewee miskitini na makanisani full stop visiweke kwenye mifumo rasimi ya kiserikali
Naandika haya najua madhara ya serikali kuanza kuweka vitu vya kidini kwenye mifumo rasmi ya serikali
Sasa mfano wakristo wana madhebu mengi mno walokole waroman wapentecoste ...haya waislam kuna shia kuna suni ....mtaafundishaje maana haya madhehebu huwa yanatofautiana kwenye mambo mbali mbali kama sio kuleta fujo na mikanganyiko
Hao walimu watalipwa na nani yaani serikali ilipe walimu wa dini kama kweli ndo tumefikia huku tena katika elimu ya advance watoto narudia wasome hizo elimu huko makanisani au misikitini na madrassa ....
Naamini raisi ajae ataliangalia hili labda huyu wa sasa kaona sawa.....tunaomba rais atakae kuja atoe haya madude sijui divinity/ukristo sijui islamic knowledge hayana umuhimu wa taifa ambalo liko nyuma kisayansi na kiteknlogy mnazidi kulipoteza taifa kuleta mambo imani kwenye ulimwengu wa elimu serious zinahitaji fact sio imani .... fact ni muhimu kuliko imani ndo maana wazungu wanatupita maana wanaamini katika fact sio imani......sasa sisi imani ndo tunataka kabisa iwe elimu rasmi ni uzwazwa...
TANZANIA SIO NCHI YA KIDINI NA HAIRUSIWA HATA KUONESHA DALILI HIZO NI HATARI MNO KUWEKA MASWALA YA DINI SERIKALI
Eti necta nao wako busy watunge mitihani sijui yesu alifanya nini mara sijui mtume alifanya nini ...
Tuiheshimu tanzania hasa tanganyika mambo ya dini hatutaki toeni....kama upande wa pili znz watapenda muwakeeni ila tanganyika haiwezi jengwa kamwe na mifumo hii mnayoleta TANGANYIKA TUNATAKA WATOTO WAWE BUSY NA ELIMU DUNIA ZAIDI.....
SIJUI MAKAMBA SIJUI MAKONDA SIJUI RIDHIWAN AU YEYOTE ATAYEKUJA KUWA RAIS BAADa ya mama samia atoe haya madini kwenye elimu rasmi hayana tija kwa taifa ... taifa linahitaji sana kuendelea upande wa elimu dunia...... sio elimu ahera
Na wahindu watafundishwa na nani? Naona dini yao haijazingatiwa kwenye mtaala mpya.Wapagani wanafundishwa na nani??
Vyema masomo ya dini yangebaki nyumbani