Serikali kuzuia website za XXX ni kuingilia uhuru wa wananchi wake

Habari wadau..!
Binafsi sio muangaliaji wa hizo picha wala video huko nilishapita zamani na nimeoa nina familia ila mara moja moja huwa naingiaga ili kufanya review ya mapigo mapya ya kupractice katika yalee mambo yetu ya mshedede.

Nasikia S/kali imezuia hii mitandao ya XXX binafsi nipo na mtazamo tofauti naona kama ss S/kali imeanza kuongozwa kidini wakati serikali yetu inajitanabaisha kwamba haina dini,nadhani huku ni kuingilia uhuru wa watu kitu ambacho si kizuri .
Acha dhambi fanya toba
 
Habari wadau..!
Binafsi sio muangaliaji wa hizo picha wala video huko nilishapita zamani na nimeoa nina familia ila mara moja moja huwa naingiaga ili kufanya review ya mapigo mapya ya kupractice katika yalee mambo yetu ya mshedede.

Nasikia S/kali imezuia hii mitandao ya XXX binafsi nipo na mtazamo tofauti naona kama ss S/kali imeanza kuongozwa kidini wakati serikali yetu inajitanabaisha kwamba haina dini,nadhani huku ni kuingilia uhuru wa watu kitu ambacho si kizuri .
Wamefanya ujinga mkubwa...ndio maana toka jana nataka nipakue ma video ya pilau web inagoma kumbe kuna mapimbi yameshabana hizi ni starehe zetu wengine hatulewi wala kuangalia mamipira yenu ya Simba na Yanga..
 
Mbona kama vile serikali imeamua kujikosesha pesa ama ndio kuvembewa na hivyo vimisaada uchwara vya mabeberu
 
Back
Top Bottom