Ni ngumu🤣Shida anataka apendwe na Kila mtu Kama keki ,which is not possible
No one know tomorrow, hata jiwe aliamin atatawala milele Leo hii hatunayeHaijalishi unamchukukia kiasi gani , she is your president, Hadi mwaka 2030,jiandae kisaikolojia,
By the way mtu hawezi ishi na kuwa na Maisha Bora kwa kutegemea vitu vya kupesa, mshahara ni sawa na kitu Cha kupewa, hivyo hata ukilipwa milioni Saba bado utalalamika.
Kwa kilichoweka kinatosha, tusubiri mwaka kesho Mungu akipenda.
Ndugu kwakweli hawajafanya vizuri Mimi hata shilingi hamsin sijapata na mshahara wangu ni mdogo daah! Tutafute vingine vya kufanya mtumishi wa Umma Hana thamani.Mara ngapi afedheheke kinachomkera wameongeza posho wao wakubwa huku chini maumivu ubinafsi wa Hali yajuu aa Hawa viongozi, waogope jamani, tozo Kila Kona, gharama za maisha zimepanda. Kwani si angekaa tu kimya kuliko Nye Nye Nye nyingi afu unakuta 12600 upuuzi mtupuu!!
Nimemchukia huyu maza na vibaraka wake!!
Wanakutana kujadili nini mjadala ulisha anza kwa magufuli huko hadi leo hauishi? Buying time strategyView attachment 2303405
Ninajiuliza mambo mengi sana kuandika nashindwa nianzie wapi, ngoja tusubiri kesho. Naona kama kikundi cha wenye lao moja wanakaa kutengeneza jibu moja.
Kazi iendelee.KUNA WATU WALITEGEMEA 200K, 100K ILA DAAH NI HUZUNI
WATUMISHI WENGINE WAMEVUNJIKA MOYO MKUUKazi iendelee.
Ulishakuwa kwenye kundi la mtumishi/employee jiandae kuvunjika moyo au kupasuka moyo kabisa. Tutengeneze our own kind of financial musclesWATUMISHI WENGINE WAMEVUNJIKA MOYO MKUU
SupportedUlishakuwa kwenye kundi la mtumishi/employee jiandae kuvunjika moyo au kupasuka moyo kabisa. Tutengeneze our own kind of financial muscles