newmzalendo
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 1,378
- 550
Tumeuzwa na JK, hapa ni sawa Baba achukue mkopo benki ,dhamana ni nyumba ambayo familia inaishi,then akatumie mkopo na nyumba ndogo yake uko dubai,oman etc.
Then tunapigwa mnada kama ifuatavyo:
Scenario in 2016 after Mr. Membe kuapishwa as President of URT na Mkulo kuwa Prime minister wa Tanzania:
- Mkoa wa pwani, unauzwa kwa waarabu,mfalme wa emirates-dubai
- Serengeti inapewa mwekezaji ili atusaidie kulipa hilo deni
- Barrick Gold wanapewa migodi mipya bureeee ili watu bail out katika huo mkopo.
Then tunapigwa mnada kama ifuatavyo:
Scenario in 2016 after Mr. Membe kuapishwa as President of URT na Mkulo kuwa Prime minister wa Tanzania:
- Mkoa wa pwani, unauzwa kwa waarabu,mfalme wa emirates-dubai
- Serengeti inapewa mwekezaji ili atusaidie kulipa hilo deni
- Barrick Gold wanapewa migodi mipya bureeee ili watu bail out katika huo mkopo.