Serikali isimamie Tamko la Maaskofu lisisomwe Kanisani

Wewe ndiyo ukajifunze dogo.

Huwezi kufikia hata robo ya historia ya dunia ninayoifahamu mimi.

Simply huna cha kunifundisha kuhusu kanisa na movement zake.

Ndiyo maana unavyoniambia kanisa linatawala dunia nzima nakushangaa na nimekuuliza Saudia,china,north korea nako kanisa linatawala?

Au huko sio dunia nzima?

Kama Akili yako inafikiri hapo Saudia kanisa halipatawali basi nimekubali historia unayoijua ni kubwa Mno na siifikii hata robo.
 
Kanisa ni Watu.
Misheni ya Kanisa ni kuwafanya Watu kuwa Wanafunzi wa Kristo.
Kanisa limejengwa katika msingi kuwa Kristo alishinda mauti.
Msingi Mkuu wa kanisa ni kushinda Mauti, kushinda Giza.

Kanisa muasisi wake ni Nani?
Alafu angalia missions zao ni zipi?
Alafu waliopambana nalo ni kina Nani na nini kilitokea?
Sasa hivi limefikia wapi?
🤣
 
Ukienda pale Bugando Referral Hospital Mwanza....utakuta waislamu wengi pia wakristo wengi wakiendelea kupewa huduma.

Ukienda seminary schools zote nchini utakutana na wanafunzi wa madhehebu yote.

Acha upumbavu wako na kobazi lako mjinga wewe.

TEC hakuna vilaza pale,wala TEC huwa hawachapani bakora makanisani kugombea umiliki wa misaada toka uarabuni....

Shika adabu yako!
Hakuna seminary inayo accept muislamu ndugu. Nyie mmeshajijrngea ufalme hapa duniani na mungu atawasusha one day
 
Unaelewa maana ya neno Kiongozi? Huko kwenye Uislam wenu hamna viongozi? Je, yale matamko ya kuanza na kumalizika kwa mfungo wenu wa Ramadhan huwa yanatolewa na miungu ya kiislam?

Jitahidi kuficha unafiki Sheikh.
Kila mtu ndani ya uislamu anaweza kuona mwezi siyo lazima atangaziwe na shekhe. Ila nyie kila kitu mpaka muongozwe na mtu Wala siyo mungu. Kuna uwezekano siku ya kiama mkaachwa kisa padre hajawaambia.
 
Kila mtu ndani ya uislamu anaweza kuona mwezi siyo lazima atangaziwe na shekhe. Ila nyie kila kitu mpaka muongozwe na mtu Wala siyo mungu. Kuna uwezekano siku ya kiama mkaachwa kisa padre hajawaambia.
Kila mwaka hamuwezi kufunga/kufungulia mpaka Mufti wenu wa Bakwata atoe tamko. Halafu unaleta ubishi hata kwenye jambo dogo tu.

Je, unijibu sasa! Bakwata na Mufti ndiyo miungu yenu? Maana kila wanachosema, na nyinyi huwa mnatii.

Au unaweza ukanipa majibu sahihi ya kwa nini kila mwaka Wasunni huanza kusherehekea sikukuu yenu ya Eid El Fitr siku moja kabla ya waislam walio chini ya Bakwata?
 
Kila mwaka hamuwezi kufunga/kufungulia mpaka Mufti wenu wa Bakwata atoe tamko. Halafu unaleta ubishi hata kwenye jambo dogo tu.

Je, unijibu sasa! Bakwata na Mufti ndiyo miungu yenu? Maana kila wanachosema, na nyinyi huwa mnatii
Shida huujui uislam halafu unataka kubishana kuhusu uislam.
Jadili siasa ndugu mkatoliki
 
Shida huujui uislam halafu unataka kubishana kuhusu uislam.
Jadili siasa ndugu mkatoliki
Mimi siujui Uislam! Sawa kabisa. Na wala sitegemei kuujua maisha yangu yote.
Ila nyinyi ndiyo mnaujua Ukristo siyo!! Maana huyo ndugu yako hapo juu amesema sisi Wakatoliki tunawachukulia Maaskofu wetu kama miungu yetu, jambo ambalo siyo sahihi hata kidogo.

Namtolea mfano hai ili kumielimisha! na wewe unaamua kulivamia gari moshi, yena likiwa katika mwendo kasi!
 
Shida nadhani ilianza walipotamani kusikia tamko lake yeye alijibu kua ameziba masikio. Nahisi hizi ni jitihada za kumzibua masikio
 
Huyo aliyesema hayo maneno hapo, yeye alivyo kiruka njia hapo Dom, tuwaite hao "dipii wedii" waje wamalize hilo tatizo!!?
 
Tulifikirie hili swala bila jazba. Kwa sababu ni jambo ambalo linaweza kuhatarisha amani ya nchi.
Propaganda hiyo itakayotokea na huo waraka wa TEC kusomwa Kanisani ni kambo ambalo serikali itashindwa kutanzua.
TEC imetoa tamko na serikali imesikia. Hiyo inatosha.
Serikali iingize buti Kanisani. That is my robotic advice.
Vinginevyo sasa,tutakuwa na serikali ngapi?
Waliotoa matamko hayo na ambayo sasa wanatekeleza waitwe wahojiwe wana mkakati gani.
Hapo watu wanaosemewa mkataba wakishafahamu ajenda yao huko mbele wamepanga nini.
Wakiachwa bila kuitwa na kuhojiwa kama wenzao serikali itaonekana dhaifu na itavutia wengine kufanya kama hivyo.Hao wengine wakifanya tusije tukaona ubaguzi wa kukamatwa.
 
Acha uongo wako wewe. Hatabwakati wa Magufuli, TEC walisimama kukemea maovu.

Na ushahidi wa wazi kabisa ni ule Waraka wa Kwaresma ambao ulisababisha baadhi ya Maaskofu akiwemo Severine Niwemuguzi wa Kagera kuanza kusumbuliwa na uhamiaji.

Na ukija kwa Fr. Kitima ndiyo kabisaa! Mara zote alizohudhuria hafla za Ikulu, alitumia muda wake mwingi kumchallenge Rais wa wakati huo kwa kitoa hoja zisizo na chembe ya unafiki, kiasi cha kuonekana ana itikadi za upinzani.
Hakuna maovu kwenye mkataba wa DP World, zaidi zaidi unakuja kutupa changamoto za uendeshaji wa makampuni yetu mengi ya sekta ya usafirishaji.

Maaskoffu hawajaitendea haki serikali ya awamu ya sita tukizingatia kwa namna kanisa lilivyoshirikishwa kuanzia hatua za awali kabisa za biashara hii.
 
Mmechelewaa..

Kwa makofi haya leo kanisani nadhani kuna ujumbe mkubwa sana nyuma yake
Presdaa aungalie upya mkataba na abadili vipengele tata....
Kwani mkataba wameandika wenyewe hao bila ya serikali?
 
Hakuna maovu kwenye mkataba wa DP World, zaidi zaidi unakuja kutupa changamoto za uendeshaji wa makampuni yetu mengi ya sekta ya usafirishaji.

Maaskoffu hawajaitendea haki serikali ya awamu ya sita tukizingatia kwa namna kanisa lilivyoshirikishwa kuanzia hatua za awali kabisa za biashara hii.
Rekebisheni madhaifu ya huo mkataba kabla mambo hayaja haribika. Kuna makundi ya watu wengi yalijitokeza kutoa kasoro zao.

Hivyo sioni ni kwa nini iwe nongwa kwa TEC nao kutoa maoni yao.
 
Back
Top Bottom