Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,488
- 13,608
Hayo ndio yaliyobakia vichwani mwenu....namaanisha utafutaji wa pointi zitakazo wapa uhalali wa kuandika chochote kile hata kama kimejaa upuuzi ndani yake. Msomi wa hadhi ya PHD tena ya chemistry huwezi kumlinganisha na yule msanii ambaye alitumia nguvu nyingi sana magazetini lakini akakuta CCM ni chama chenye mizizi, akagonga mwamba.Teeeeeeeeh teeeeeeeeh teeeeeeeeeh teeeeeh teeeeeeeeeh mbavu zangu jamani,jamaa katoka mkuku