daud magigo
JF-Expert Member
- Sep 5, 2014
- 979
- 423
JK pia alikuwa changuo la Mungu licha ya kuombewa,angalia alivyotufanyia ESCROW,TWIGA HAI,UDA licha ya kuwa changuo la Mungu.Hawa watu ni waadilifu tuwaombee maana wanakutana na mambo magumu wanahitaji maombi ili wasonge mbele na utaratibu wa maombi ni wa kawaida tu wa wacha Mungu