mzalendo15
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 1,361
- 1,046
1. Mkuu, ni mungu gani huyo wanayemtanguliza!? Maana miungu wengi... Hata Diego Maradona pia ni mungu...
Kama ni huyu Yehova, je ni kweli ana-support
Wizi kama ule wa kura?
Uonevu kama ule wa ZNZ?
Uongo na ulaghai kwenye chaguzi za Dar!?
Hata Hivi naona wanalitaja Bure jina la mungu...
2. Sidhani kama ni busara kutumia mgongo wa Mungu kuficha mapungufu binafsi... Matter of fact, huhitaji taifa zima likuombee ili usimamie haki..
Ndugu yangu umeongea point ilikupata toba lazima ujikane mwenyewe wameumiza sana nafsi za raia waliougulia machungu mioyoni mwao kwa kuibiwa kura zao mpaka leo hii wameacha majeraha makubwa mioyoni mwao. Halika watubu kwanza ndipo tuanze kuwaombea.