Habari wakuu,
Naandika kidogo hapa maana mambo ni mengi,jana wakati naangalia taarifa ya habari nikaona habari kuwa kuna watu wametapeli wananchi zaidi ya milioni 900 kwa kuwauzia ardhi ambayo ni pori la serikali huko maeneo ya Bagamoyo, hadi muda huu wananchi hao wamekwishajenga na ndipo imetoka kauli ya serikali kuwa wananchi wabomoe nyumba hizo kwa mikono yao wenyewe kabla serikali haijachukua hatua.
Mbaya zaidi viongozi wa kampuni iliyowauzia ardhi wametokomea kusikojulikana na bado wanasakwa.
Ninachojiuliza hadi watu wanauziwa maeneo hayo hadi inafika hiyo milioni 900 Wizara ya ardhi iko wapi? Jeshi la polisi liko wapi? Wale jamaa wa makumbusho ambao wakishalewa wanauliza unaniju mi ni nani wako wapi?je baadhi ya viongozi wakubwa wa serikali wanashiriki katika mipango ya aina hii?
Naandika kidogo hapa maana mambo ni mengi,jana wakati naangalia taarifa ya habari nikaona habari kuwa kuna watu wametapeli wananchi zaidi ya milioni 900 kwa kuwauzia ardhi ambayo ni pori la serikali huko maeneo ya Bagamoyo, hadi muda huu wananchi hao wamekwishajenga na ndipo imetoka kauli ya serikali kuwa wananchi wabomoe nyumba hizo kwa mikono yao wenyewe kabla serikali haijachukua hatua.
Mbaya zaidi viongozi wa kampuni iliyowauzia ardhi wametokomea kusikojulikana na bado wanasakwa.
Ninachojiuliza hadi watu wanauziwa maeneo hayo hadi inafika hiyo milioni 900 Wizara ya ardhi iko wapi? Jeshi la polisi liko wapi? Wale jamaa wa makumbusho ambao wakishalewa wanauliza unaniju mi ni nani wako wapi?je baadhi ya viongozi wakubwa wa serikali wanashiriki katika mipango ya aina hii?