Serikali iitishe kura ya maoni Wazanzibari waamue upya kama wanautaka muungano ili isionekane tunawalazimisha

Naunga mkono hoja. Na baada ya hiyo kura ya maoni, ikiwezekana waendelee tu na Taifa lao kama ilivyo kwa Comoro, nk.
Halafu tukutane nao EAC.

Kitakachotokea:

1. Kama Samia atakuwa bado madarakani, italazimu Tanganyika kuongozwa na Rais wa mpito kwa mara ya pili.

2. DPW itabidi iende kue desha bandari za Zanzibar, maana imekuja Tanzania kama deal la wazanzibari.

3. Zanzibar litakuwa taifa la kwanza la kigeni kuuziwa umeme na TANESCO.

4. Mchele na ndizi toka Tanganyika zitaanza kuuzwa Zanzibar kwa kutumia sarafu ya Marekani.

5. Itakuwa patashika Tanganyika itakapotangaza wahamiaji toka Zanzibar kutakiwa kukamilisha taratibu za uhamiaji, huku wengi wakiamua kuukana uraia wa Zanzibar ili kukidhi sheria ya uhamiaji ya Tanganyika!!

Katika porojo ni rahisi sana kusema Muungano uvunjike, lakini kiuhalisia, hilo likitokea, inaweza kuchukua hata miaka 50 mpaka Zanzibar kutengamaa kama Taifa.
 
Tatizo ni kwamba waliotuunganisha ni CIA na MI6! Wala hatukuwa sisi! Sababu ilikuwa ni kuzuia uislam kuenea Tanganyika! Mnaona sababu yenyewe ya muungano? Ina mantiki au ni ya kibwege?
 
Mkuu, we ni mzanzibari pia?

Nipe rejea za visiwa vinavyomiliki ukanda wa pwani wa bara fulani ili nijifunze huwa inakuaje!
Mimi sio mzanzibar ila ukanda wa pwani wote ni sehemu ya zanzibar .Pia usiwe na wasiwasi kwa sababu hata muungano unapovunjika yoyote anaweza kuishi popote kwa kufuata sheria.

Mzanzibar anaweza kuomba uraia wa huku na huku akapta kule ,juzi tu hapa wapemba wamepewa uraia huko kenya.
 
Kauli zozote za kishujaa kuhusu muungano ni nakili kutoka kwa waasisi wa mataifa haya mawaili. Huenda labda kwa wakati huo muungano ulikuwa na manufaa lakini sio sasa. Kama nyumba ya zamani inaweza kuvunjwa na kujengwa mpya inayoendana na wakati, basi hata muungano kwa sasa ni jumba la kale linalotakiwa kuvunjwa na kujengwa upya kwa mahitaji ya sasa.

Kama wazanzibar walio wengi wanaunung'unikia muungano basi kuna hatari kubwa kizazi kijacho kikaja kuingia vitani kudai uhuru wao. Yapo mengi ambayo wazanzibar wanaamini muungano unawakosesha.

Kwa mfano Zanzibar wanabendera lakini bendera yao haitambuliki popote zaidi ya wao wenyewe. Zanzibar ilikuwa nchi na sio Kijiji kwa hiyo Zanzibar ilipaswa kuwa na kiti kwenye mabaraza yote ya umoja wa Afrika! Kwa sasa hawana.

Zanzibar hawana muwakilishi hata katika mashindano ya kimataifa, Zanzibar kama wanaona muungano hauna manufaa tena kwao tusiwalazimishe. Ndoa yoyote huwa inavunjwa kwa hiyari serikali ione umuhimu wa kuruhusu kura ya maoni, ili wazanzibar waamue kwa sababu kizazi kilichopo sasa sio kile Cha mwanzo mwa 1965.
Una hoja nzuri lakini mpango sio mzuri


Kwa upande wa kura hauwezi kuleta majibu sahihi, wamasai waliofukuzwa Ngorongoro walitafutwa wamasai uchwara ambao walikuwa wanasapoti kuondolewa na kuipongeza serikali.


Hata katika hilo hawashindwi kufanya figisu ili ionekane muungano unapendwa
 
Zanzibar ni nchi inayotawaliwa na CCM , kama hawataki basi tena wapewe na ukanda pwani wote...Ushirikiano utakuwepo kama kawaida wapewe uhuru wao wanaotaka.

Waacheni waishi wanavyotaka mbona Taiwan wanapigani uhuru wao, maisha yao mda umefika wajitenge kabisa.

Ukanda wa pwani hawawezi kuupata.

Haijawahi kutokea mahali popote Duniani, kisiwa kumiliki inland, ila kuna inland countries nyingi zinazomiliki visiwa.
 
Halafu tukutane nao EAC.

Kitakachotokea:

1. Kama Samia atakuwa bado madarakani, italazimu Tanganyika kuongozwa na Rais wa mpito kwa mara ya pili.

2. DPW itabidi iende kue desha bandari za Zanzibar, maana imekuja Tanzania kama deal la wazanzibari.

3. Zanzibar litakuwa taifa la kwanza la kigeni kuuziwa umeme na TANESCO.

4. Mchele na ndizi toka Tanganyika zitaanza kuuzwa Zanzibar kwa kutumia sarafu ya Marekani.

5. Itakuwa patashika Tanganyika itakapotangaza wahamiaji toka Zanzibar kutakiwa kukamilisha taratibu za uhamiaji, huku wengi wakiamua kuukana uraia wa Zanzibar ili kukidhi sheria ya uhamiaji ya Tanganyika!!

Katika porojo ni rahisi sana kusema Muungano uvunjike, lakini kiuhalisia, hilo likitokea, inaweza kuchukua hata miaka 50 mpaka Zanzibar kutengamaa kama Taifa.
Wakishajitenga na kuunda Taifa lao huru, Rais Samia atakosa sifa ya kuwa Rais wa Tanganyika.
 
Kauli zozote za kishujaa kuhusu muungano ni nakili kutoka kwa waasisi wa mataifa haya mawaili. Huenda labda kwa wakati huo muungano ulikuwa na manufaa lakini sio sasa. Kama nyumba ya zamani inaweza kuvunjwa na kujengwa mpya inayoendana na wakati, basi hata muungano kwa sasa ni jumba la kale linalotakiwa kuvunjwa na kujengwa upya kwa mahitaji ya sasa.

Kama wazanzibar walio wengi wanaunung'unikia muungano basi kuna hatari kubwa kizazi kijacho kikaja kuingia vitani kudai uhuru wao. Yapo mengi ambayo wazanzibar wanaamini muungano unawakosesha.

Kwa mfano Zanzibar wanabendera lakini bendera yao haitambuliki popote zaidi ya wao wenyewe. Zanzibar ilikuwa nchi na sio Kijiji kwa hiyo Zanzibar ilipaswa kuwa na kiti kwenye mabaraza yote ya umoja wa Afrika! Kwa sasa hawana.

Zanzibar hawana muwakilishi hata katika mashindano ya kimataifa, Zanzibar kama wanaona muungano hauna manufaa tena kwao tusiwalazimishe. Ndoa yoyote huwa inavunjwa kwa hiyari serikali ione umuhimu wa kuruhusu kura ya maoni, ili wazanzibar waamue kwa sababu kizazi kilichopo sasa sio kile Cha mwanzo mwa 1965.
Over their dead bodies.
Chama tawala hawako tayari kabisa kukubaliana na hoja hii. Kama wanaiba matokeo ya kura toka 1995, uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi, unadhani watakubali hio kura?
 
Kauli zozote za kishujaa kuhusu muungano ni nakili kutoka kwa waasisi wa mataifa haya mawaili. Huenda labda kwa wakati huo muungano ulikuwa na manufaa lakini sio sasa. Kama nyumba ya zamani inaweza kuvunjwa na kujengwa mpya inayoendana na wakati, basi hata muungano kwa sasa ni jumba la kale linalotakiwa kuvunjwa na kujengwa upya kwa mahitaji ya sasa.

Kama wazanzibar walio wengi wanaunung'unikia muungano basi kuna hatari kubwa kizazi kijacho kikaja kuingia vitani kudai uhuru wao. Yapo mengi ambayo wazanzibar wanaamini muungano unawakosesha.

Kwa mfano Zanzibar wanabendera lakini bendera yao haitambuliki popote zaidi ya wao wenyewe. Zanzibar ilikuwa nchi na sio Kijiji kwa hiyo Zanzibar ilipaswa kuwa na kiti kwenye mabaraza yote ya umoja wa Afrika! Kwa sasa hawana.

Zanzibar hawana muwakilishi hata katika mashindano ya kimataifa, Zanzibar kama wanaona muungano hauna manufaa tena kwao tusiwalazimishe. Ndoa yoyote huwa inavunjwa kwa hiyari serikali ione umuhimu wa kuruhusu kura ya maoni, ili wazanzibar waamue kwa sababu kizazi kilichopo sasa sio kile Cha mwanzo mwa 1965.
Mtakuwa tayari kupambana na mujaheedin upenuni mwenu ?

2035 inabidi wapelekewe rais mlokole kutoka Morogoro.
 
Kauli zozote za kishujaa kuhusu muungano ni nakili kutoka kwa waasisi wa mataifa haya mawaili. Huenda labda kwa wakati huo muungano ulikuwa na manufaa lakini sio sasa. Kama nyumba ya zamani inaweza kuvunjwa na kujengwa mpya inayoendana na wakati, basi hata muungano kwa sasa ni jumba la kale linalotakiwa kuvunjwa na kujengwa upya kwa mahitaji ya sasa.

Kama wazanzibar walio wengi wanaunung'unikia muungano basi kuna hatari kubwa kizazi kijacho kikaja kuingia vitani kudai uhuru wao. Yapo mengi ambayo wazanzibar wanaamini muungano unawakosesha.

Kwa mfano Zanzibar wanabendera lakini bendera yao haitambuliki popote zaidi ya wao wenyewe. Zanzibar ilikuwa nchi na sio Kijiji kwa hiyo Zanzibar ilipaswa kuwa na kiti kwenye mabaraza yote ya umoja wa Afrika! Kwa sasa hawana.

Zanzibar hawana muwakilishi hata katika mashindano ya kimataifa, Zanzibar kama wanaona muungano hauna manufaa tena kwao tusiwalazimishe. Ndoa yoyote huwa inavunjwa kwa hiyari serikali ione umuhimu wa kuruhusu kura ya maoni, ili wazanzibar waamue kwa sababu kizazi kilichopo sasa sio kile Cha mwanzo mwa 1965.
Wanalia lia sana hawa watu ifike wakati maamuzi magumu yachukuliwe wenyewe wamejaa kuuza samaki hadi vichochoroni huko bara lakini hawataki wabara wakafanye kazi,na kazi zenyewe wawe wanaweza sasa kufanya,huku wanapewa URC,DC na nyadhifa mnalimbali kwao ni wao kwa wao bado hawaoni hayo yote
 
Zanzibar ni nchi inayotawaliwa na CCM , kama hawataki basi tena wapewe na ukanda pwani wote...Ushirikiano utakuwepo kama kawaida wapewe uhuru wao wanaotaka.

Waacheni waishi wanavyotaka mbona Taiwan wanapigani uhuru wao, maisha yao mda umefika wajitenge kabisa.
Ata mikoa mingi iliungwanishwa kwa kanda zake vipi nazo kanda tuzipe uhuru?.
 
Kauli zozote za kishujaa kuhusu muungano ni nakili kutoka kwa waasisi wa mataifa haya mawaili. Huenda labda kwa wakati huo muungano ulikuwa na manufaa lakini sio sasa. Kama nyumba ya zamani inaweza kuvunjwa na kujengwa mpya inayoendana na wakati, basi hata muungano kwa sasa ni jumba la kale linalotakiwa kuvunjwa na kujengwa upya kwa mahitaji ya sasa.

Kama wazanzibar walio wengi wanaunung'unikia muungano basi kuna hatari kubwa kizazi kijacho kikaja kuingia vitani kudai uhuru wao. Yapo mengi ambayo wazanzibar wanaamini muungano unawakosesha.

Kwa mfano Zanzibar wanabendera lakini bendera yao haitambuliki popote zaidi ya wao wenyewe. Zanzibar ilikuwa nchi na sio Kijiji kwa hiyo Zanzibar ilipaswa kuwa na kiti kwenye mabaraza yote ya umoja wa Afrika! Kwa sasa hawana.

Zanzibar hawana muwakilishi hata katika mashindano ya kimataifa, Zanzibar kama wanaona muungano hauna manufaa tena kwao tusiwalazimishe. Ndoa yoyote huwa inavunjwa kwa hiyari serikali ione umuhimu wa kuruhusu kura ya maoni, ili wazanzibar waamue kwa sababu kizazi kilichopo sasa sio kile Cha mwanzo mwa 1965.
Cc Mohamed Said una maoni gani.

Tugawane mbao tu kila mmoja ajenge kwake. Nilimsilikia mbunge mmoja anasema Watanganyika wakija Zanzibar wanatakiwa kuwa na passport.
 
Back
Top Bottom