Wewe ni mnafiki, masheikh, ma-elhaji wamehesabiwa sembuse wewe?
Ama kweli Rais JK ni kiwango,kawaambia kama waislamu wanaona takwimu cyo sahihi watoe zao ili ngoma iwe droo, awashangaa waislamu kuishutumu serikali yake wakati wao wenyewe wanawajua waliotoa takwimu. Jipange
Tena kuna zaidi ya matatizo, just imagine kwa mwaka huu 2012 kunafanyika zoezi la vitambusho na sensa. Kwa viongozi/watendaji wenye akili wangefikiria ku-merge ili fedha nyingine zikanunulie watoto wetu madawati huko shuleni. Ni aibu nchi hii yenye miti kila kona kukosa madawati
Kiongozi hiyo kilo yako ya sukari wawekee wengine hao jamaa wanapata posho, kwanza ukiwapa chai watachelewa kupita huku kwangu.Huku tumeambiwa na mwenyekiti wa serikali ya mtaa wataanza saa tatu. Nimeambiwa wataanzia nyumba yangu, hapa nipo nawaandalia chai kabisa.
Mimi nimekesha nikidhani watakuja usiku...[/QUOTE]
Kwani umeambiwa wanashirikiana na POPOBAWA kwenye night shift???
Nachungulia dirishani, my niece kicking football hard na neighbours kids. Water tank is spilling water , jamani zimeni pump! Nasubiri makarani wa sensa.
Ni punde Raisi wetu katoka kuelezea umuhimu wa sensa na kuwaomba na kuhimiza watu wahesabiwe. Ila kuna jambo moja kwa upande wangu sijamuelewa vizuri. kaulizwa swali na waandishi wa habari Je, watafanya nini kwa wanaosambaza sms kushawishi watu wasihesabiwe, jibu alilotoa ni rahisi kweli kwa hadhi yake, kasema "nasi tunatuma sms kuwashawishi wakubali kuhesabiwa, tutapambana nao hukohuko kwenye mitandao, tena zinatumwa kwa jina langu (raisi)" kiukweli pamoja na maelezo kuwa hao waliopo msikitini si watatoka tuu kama wamejifungia na wakitoka watahesabiwa. Binafsi naona kama kunamchezo wa kuigiza, kama kweli sheria ya uchaguzi inaelekeza nini cha kufanya kwa waliokiuka hili zoezi si muda wa kubembelezana. Kubembelezana sana huku kwa mambo ya msingi yanapoteza muda na kuchelewesha maamuzi ya msingi! NAPENDEKEZA HATUA KALI ZICHUKULIWE KWA WOTE WALIPOKIUKA WAZIWAZI.
MIMI NIMESHAHESABIWA, NAKUSHAURI NAWE UWE TAYARI KUHESABIWA!
Hata wakati wa utawala wa mfalme Herode walifanya sensa na kila mtu alihesabiwa katika mji aliozaliwa. Mie na familia yangu tutahesabiwa. Ili msiniulize sababu ya sensa wakati wa mfalme Herode maana sikumbuki mpaka nisome hiyo aya