huku sensa bado haijapita
Sensa ya watu imesababisha train ya kati kusimamishwa na wahesabuji wa sensa katikati ya safari wakidai watu wahesabiwe wote ndani ya train ndiyo iendelee na safari je huo ndiyo ustaarabu wa sensa?
Hahahaah! Hawawezi kukuhesabu kwenye daladala, hata kesho wanaweza kukuibukia maana ni zoezi la siku saba...mia.
sijahesabiwa na sikubali kuhesabiwa liwalo na liwe.
Airtime hii wangerusha umuhimu wa kutunza mazingira.
leo saint ivuga keshahesabiwa bila matatizo kwa hiyo shauri yenu nyie mnaoringa ringa mtajiju
au matatizo wanayoyapata watoto wa mitaani,,,,,,ambao sijui nani atawahesabu yaillah
Mkuu hao makarani siyo wabunufu hivyo wamefanya kosa kusimamisha hiyo Treni badala yake wangewahesabu hao Abiria wakati treni ikiendelea na safari.Mbona mimi sasaiv nipo ndani ya ndege ya Emirates na naendelea kuwahesabu abiria huku ndege ikiendelea na safari? Na kwa taarifa yako sasaiv tunakaribia kutua uwanja wa Heathrow pale UK. Sensa safi sana yani nimepanda pipa hivhiv bila kutarajia![/QUOTE
Sensa ya watu imesababisha train ya kati kusimamishwa na wahesabuji wa sensa katikati ya safari wakidai watu wahesabiwe wote ndani ya train ndiyo iendelee na safari je huo ndiyo ustaarabu wa sensa?[/QUOTE]
Kuna UPUMBAVU AMBAO DUNIA NZIMA NAAMINI UNAWEZEKANA TANZANIA TUU....