Nijuavyo mimi sensa itaendelea through 7days. Sasa kisa cha kuwasimamisha abiria ninini? Na wewe umekubaliana na jambo hilo?
Ungekuwa uchaguzi ningeelewa.
Nijuavyo mimi sensa itaendelea through 7days. Sasa kisa cha kuwasimamisha abiria ninini? Na wewe umekubaliana na jambo hilo?
Ungekuwa uchaguzi ningeelewa.
Kumekucha,habari ndugu
Watanzania, jumapili safi napata ka breakfast taratibu, na check BBC
news nikisubiri makarani wa sensa. US astrounant Neil Armstrong dies,
scores of bodies found in Syria, tropical storm dumps rain
Cuba.......................... /Post Sensa update
Hahahaah! Hawawezi kukuhesabu kwenye daladala, hata kesho wanaweza kukuibukia maana ni zoezi la siku saba...mia.mbona hawajaja getto? mimi nakula kona bana kama vipi watanihesabu kwenye daladala. mia