mchemsho
JF-Expert Member
- Jun 8, 2011
- 3,212
- 867
Jamani wanawake wa kichaga wazuri sana. Huo ni ukweli.
Kwa bed wengi hovyoo hasa machame, marangu
Jamani wanawake wa kichaga wazuri sana. Huo ni ukweli.
Kwa bed wengi hovyoo hasa machame, marangu
Ha ha ha! Raia Fulani wewe utakuwa Mchagga wewe? Umenifurahisha sana Meku but hiyo si kweli! Hiyo ni story kama ile uliyopigiwa na babu yako kuhusu Mawenzi na Kibo walikuwa marafiki wakagombana halaf Kibo akamwagia uji Mawenzi (Et ndio kisa cha Mawenzio kuwa na theluji)
Chaga kabila celebrity bongo!
tetesi eti mashoga wengi wanatokea hilo kabila kisa sijui nini
Jamani wanawake wa kichaga wazuri sana. Huo ni ukweli.
sisi tuliyo jitoa muhanga kuoa huko tunasubiri kuuwawa mali ikiongezeka
dem wa kchaga hajui kusema no! Hajui ku-do,
duka la mchaga, anauza unga,misumari,barafu,sukari,samaki wabich,chuma chakavu,mbao,chps zpo pia,suruali,sahani,vipodoz,panadol,viatu,nanunua chuma chakavu,jipatie soda,chakula safi hapa,pata mkaa!duh kisikatize ki2 jamaa wanakpga bei
bonsafoo clemee....