Hatujakushinda wewe!Wachaga washenzi
wachaga gangwe sana. Waliwapiga sana wapare hadi jina la kipigo likawa la kabila. Wapare maana yake wapasue
Mechi ya wachaga na wahaya, wachezaji wakawa kama ifuatavyo
Wachaga
Wahaya
- Massawe
- Tarimo
- Swai
- Kimaro
- Temu
- Shao
- Shayo
- Moshi
- Urassa
- Temba
- Mroso
Wachaga kuona list ya wahaya wakaamua kutoka nduki wakiogopa kufungwa, kukimbizwa, kukamatwa na kupigwa
- Rweyemamu
- Karugaba
- Bitegego
- Rwiza
- Mugyabuso
- Katunzi
- Kashaija
- Mutafungwa
- Mutakimbizwa
- Mutakamatwa
- Mutapigwa
Tembea Tanzania nzima kila mahali utamkuta mchaga anafanya biashara!..............Kudadeki Mchaga!!
Wanakunywa bia haoo...Ila hawapendi kunywa pombe kali kama vodka,wisky etc
ijadhibitishwa ! Unadhani hao ni wagogo,tangu lini ukanywa gongo ukaota kitambi? Wakati kitambi ni sifa yao pia.mbona GONGO wanakunywa? Au nayo sio kali?
ijadhibitishwa ! Unadhani hao ni wagogo,tangu lini ukanywa gongo ukaota kitambi? Wakati kitambi ni sifa yao pia.
Hatujakushinda wewe!
Huo ndo utani au utovu wa nidhamu?