Kijana LOGICS
Senior Member
- Dec 16, 2023
- 140
- 525
Nimeona post za member mmoja akisakama ma binti wa kijita waziwazi kwa kujiamini kabisa anawaambia vijana usioe mjita tena anakazia kama yéyé na dada zake ni wema sana.
Wewe kama unamchukia MTU/jamii ya watu fulani wachukie tu wewe inatosha kwanini utugawie chuki zako tuwachukie watu bila sababu?
Sisi wengine tunapenda Kila mtu kila Kabila pasi kuangalia mabaya yake kwa sababu kila mtu ana Mazuri/mabaya yake.
Hivi kweli mwanaume unaweza kuandika thread ya kushauri watu wachukie mtu/kabila fulani?
Unataka kuoa sehemu Fulani au MTU Fulani Nenda kaoe basi tuone kama utapata hiyo furaha .OVER
Wewe kama unamchukia MTU/jamii ya watu fulani wachukie tu wewe inatosha kwanini utugawie chuki zako tuwachukie watu bila sababu?
Sisi wengine tunapenda Kila mtu kila Kabila pasi kuangalia mabaya yake kwa sababu kila mtu ana Mazuri/mabaya yake.
Hivi kweli mwanaume unaweza kuandika thread ya kushauri watu wachukie mtu/kabila fulani?
Unataka kuoa sehemu Fulani au MTU Fulani Nenda kaoe basi tuone kama utapata hiyo furaha .OVER