queen anitha
Member
- Jan 20, 2014
- 17
- 4
bahili sana ila napenda wanavosaidiana
wabinafsi na wapenda upande wao tu. kwa upande wa mapenzi ni kweli kabisa hawako romantic kwa asilimia kubwa
...ndo huwezo wako wa kufikiri umeishia hapo?. Mshahara wako sh ngapi vile, watoto/wewe/ndugu zako elimu yao vipi, na maisha yako vipi?, nchi yako je?,.
...Chaggas will lead you and ur mind always and ever.
Nadhani wewe hujaitembea Tanzania hii ambayo ni nchi yako.
Kama haujui kuwa Moshi ni mji mdigo ukilinganisha ni miji mingine ya mikoa basi wewe ni wa kusamehe.
Mfano tu, jaribu kutafuta idadi ya wakazi, ukubwa wa eneo la manispaa, nadhani utapata angalau picha.
Moshi napajua ndg yangu, kuanzia Majengo, kwa mtei, pasua, soweto, karanga, shanti town, Dar street, Kcmc, Rau, n.k.hunielezi kitu, nimeishi pale kwa miaka 4 hadi nilipohamishwa kiutumishi.
Asante