Wana JF,
Ni muda mrefu kidogo sijawa na mawsiliano na mtandao huu hii ni kutokana na shughuli nzito ya kuvuna mpunga inayonikabili hapa tongi (Nzega) nimeamua kuandika hili ili basi tuendelee kupata wasaa mzuri wa kutafakari mengi ambayo tumekuwa tukiyajadili kuhusiana na siasa.
Ikiwa ni wiki moja sasa imekatika toka bunge letu tukufu lianze vikao vyake mjini Dodoma katika hali ya kushangaza bado namuona Mh Selelii akiendelea kuhangaika katika jimbo la Nzega na hasa vijijini akiomba msaada wa watu kumuunga mkono ili aweze kurudi mjengoni huku akiwaomba radhi baadhi ya watu ambao anadhani wamemuhama katika kumpigia debe tena mwaka huu.
Mh yupo bize kweli kweli jimboni japo hali yake inazidi kuwa mbaya kila kukicha na katika hali ya kushangaza amekuwa akitoa lugha mbaya za matusi kwa baadhi ya viongozi wa CCM hasa anapogungundua kuwa hawamuungi mkono.
Naomba wote walio karibu na Mh Selelii mshaurini arudi mjengoni tunamuhitaji sana lakini pia nitoe pongezi kwa Dr Kigwangala mbunge mtarajiwa wa Nzega maana amembana kweli kweli Selelii
Ni muda mrefu kidogo sijawa na mawsiliano na mtandao huu hii ni kutokana na shughuli nzito ya kuvuna mpunga inayonikabili hapa tongi (Nzega) nimeamua kuandika hili ili basi tuendelee kupata wasaa mzuri wa kutafakari mengi ambayo tumekuwa tukiyajadili kuhusiana na siasa.
Ikiwa ni wiki moja sasa imekatika toka bunge letu tukufu lianze vikao vyake mjini Dodoma katika hali ya kushangaza bado namuona Mh Selelii akiendelea kuhangaika katika jimbo la Nzega na hasa vijijini akiomba msaada wa watu kumuunga mkono ili aweze kurudi mjengoni huku akiwaomba radhi baadhi ya watu ambao anadhani wamemuhama katika kumpigia debe tena mwaka huu.
Mh yupo bize kweli kweli jimboni japo hali yake inazidi kuwa mbaya kila kukicha na katika hali ya kushangaza amekuwa akitoa lugha mbaya za matusi kwa baadhi ya viongozi wa CCM hasa anapogungundua kuwa hawamuungi mkono.
Naomba wote walio karibu na Mh Selelii mshaurini arudi mjengoni tunamuhitaji sana lakini pia nitoe pongezi kwa Dr Kigwangala mbunge mtarajiwa wa Nzega maana amembana kweli kweli Selelii