trachomatis
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 3,758
- 736
- Thread starter
- #61
Imagine guys,IN 5 SAUDI PEOPLE ONE POOR!
Mkuu humu kuna watu wamepinda ukitaja uarabu basi km umepiga jiwe mzinga wa nyuki,utasakamwa wewe!! kuna vitu vingine ni very simple lakini kitapotoswa na mwisho ya yote utaona wachangiaje wanaanza kutukanana.lakini tuchukuliane kwenye wengi kuna mengi,malezi,makuzi,ustaarabu.
Jamani tuangalie na kurefer kwenye original thread. Inaenda kama vile inachakachuliwa..
mkuu uzi unapoeleka utakuwa ni wa dini.maana jew kazi yake kaianza.
Can you speak arabic please? Can you?
Do you think I care??who do you think? iam an arab with jewish blood.
who aske?
nawajua nyie jews toka juu mpaka chini
Do you speak Arabic?
You can add Greek and Latin.yap.can you speak arabic or hebrew?
Hapa mkuu naongelea waarabu kwa jumla wa Syria/Saudia/Qatar et....na pointi yangu ni kuwa Unapoongelea Uarabu kwa issue yeyote ile ndio yatatokea au kusemwa usiyo yategemea kwa sababu humu JF uarabu ni Uislam...Yale yanayotokea Syria,Yemen ni vigumu kupata picha kamili kwa nini inakuwa vile,yule wa Yemen nchi za Magharibi zinamuhitajia pale aking'oka Ali Abdullah Saheh litakuwa chaka la Al Qaeda na Syria Ki-geography yupo ubavuni mwa Israel kama wakiwasha moto pale madhara yake ni makubwa..na siasa za mashariki ya kati ni kizungu ukuti..kwa nini ya Bahrain yalizimwa? na yale ya Lybya yalichochewa? maswali mengi kuliko majibu.Inaweza ikawa kweli,maana sijafanya uchunguzi. Na je unaongeleaje waarabu wa Syria na Yemen? Ambako serikali za huko zinaua waandamanaji kama nini sijui!
Hapa mkuu naongelea waarabu kwa jumla wa Syria/Saudia/Qatar et....na pointi yangu ni kuwa Unapoongelea Uarabu kwa issue yeyote ile ndio yatatokea au kusemwa usiyo yategemea kwa sababu humu JF uarabu ni Uislam...Yale yanayotokea Syria,Yemen ni vigumu kupata picha kamili kwa nini inakuwa vile,yule wa Yemen nchi za Magharibi zinamuhitajia pale aking'oka Ali Abdullah Saheh litakuwa chaka la Al Qaeda na Syria Ki-geography yupo ubavuni mwa Israel kama wakiwasha moto pale madhara yake ni makubwa..na siasa za mashariki ya kati ni kizungu ukuti..kwa nini ya Bahrain yalizimwa? na yale ya Lybya yalichochewa? maswali mengi kuliko majibu.
You can add Greek and Latin.
Why so many poor people in Saudi Arabia?
Your post is out of topic. We are talking about the poverty of Saudi Arabia, et al.
Living conditions for the migrant workers can be overcrowded - one camp housed 7,500 labourers in 1,248 rooms with poor ventilation
mkuu maswali mengi mno yapo lkn majibu huwa hatuna! libya sababu kuu ni mafuta.yemen syria hakuna mali lkn maslahi yapo kwa vigezo tofauti.