Saudi Arabia: Nani anayeweza kuamini hili?

082848.jpg

What is she doing? Selling shoes?
 
Halafu kipindi hiki hiki cha Hijja kuna Anti Regime rallies pale Riyadh..
 
Jamani nadhani kila mmoja anajua the Biggest Exporter wa Mafuta Duniani ni Saudia. Na kwamba King Abdullah[?] aliwahi kuwa Top Three ya Richest Man of the World nyuma ya Gates, nafikiri na Murdock.
Huwezi kuamini 70% wanaogelea kwenye umasikini kama wa dunia ya tatu! Hawana uhakika wa kula,mavazi na hata pa kulala panasikitisha mno! Imefikia hatua raia wengi kujitumbukiza kwenye biashara haramu ya madawa ya kulevya! Kwa kuwa sheria ni kali unapogundulika unafanya biashara hiyo,kwa sasa wanatumia watoto ambao nao wanachangamkia kutokana na kipato kinachowasaidia wao wenyewe na familia zao! Source: Press TV [IRAN]
Usitupotezee muda kwa mambo ya kuzusha.Makafiri wa enzi za Mtume mwenyewe wakati yuko hai walifanya kama hivi na wakashindwa.
Madhumuni ya thread hii ni kupotosha na pengine kuvunja moyo wanaopenda kusilimu na hatimae kwenda Hijja.
Picha zote mlizotoa hazina maelezo na yumkin sio za Saudia hasa vile vyoo vichafu.Ukipinga ninalosema tuambie hizo picha zimechukuliwa eneo gani,kwani Makka muda wa Hija pamoja na msongamano mkubwa wa watu hakuna uchafu wa aina yoyote si barabarani tu bali hata vyooni.Narudia kusema kuomba Saudia ni kwa wenye maradhi hayo na wanaotaka utajiri lakini si kwa njaa kama wanavyofanya huko anakotoka Billy Gates.
 
Saudi Arabia is a classic example of the adage everything you see is not as is. This oil producer came into its source through the Brits, which helped establish the country, and rightly took control of its natural resources but not to benefit the people so much as the Saudi Royal family. So much of the social unrest comes from the neglect rural and Bedouin masses whom the ruling elites ignore until signs of unrest echo from the hinterlands.
 
FF, huo ndiyo ukweli hasa kuhusu Saudia. Mimi niko Saudia miaka kadhaa na haya unayoyasema ndiyo ninayoyashuhudia. Beggars waliopo kwa ujumla ni wanawake na siyo Wasaudi bali watu wa kutoka nje.
“It's not just women who face hurdles. Some experts here say privately that all poor Saudis suffer because the government and society are reluctant to acknowledge poverty in the kingdom."
 
"It's not just women who face hurdles. Some experts here say privately that all poor Saudis suffer because the government and society are reluctant to acknowledge poverty in the kingdom."

You have said it correctly
 
They don't talk about this poverty, why?

Saud Arabia inalindwa na wamarekani kwa gharama kubwa sana ! Sijui tishio ni nani ? Ufalme unazuia baadhi ya misingi ya kiislaam, wengi hawaelewi ya kuwa taifa hilo linaendeshwa kwa maslahi ya royal family na si 'UISLAAM'
 
Usitupotezee muda kwa mambo ya kuzusha.Makafiri wa enzi za Mtume mwenyewe wakati yuko hai walifanya kama hivi na wakashindwa.
Madhumuni ya thread hii ni kupotosha na pengine kuvunja moyo wanaopenda kusilimu na hatimae kwenda Hijja.
Picha zote mlizotoa hazina maelezo na yumkin sio za Saudia hasa vile vyoo vichafu.Ukipinga ninalosema tuambie hizo picha zimechukuliwa eneo gani,kwani Makka muda wa Hija pamoja na msongamano mkubwa wa watu hakuna uchafu wa aina yoyote si barabarani tu bali hata vyooni.Narudia kusema kuomba Saudia ni kwa wenye maradhi hayo na wanaotaka utajiri lakini si kwa njaa kama wanavyofanya huko anakotoka Billy Gates.

Hii thread nimeandika mimi. Ukisoma vizuri utanielewa. Kama unaprejudge kabla ndiyo tatizo lako. Mi nimeandika na kuweka source yangu kuwa Press TV ya Iran. Sijui wapi ambako sikueleweka jamani.
 
Saud Arabia inalindwa na wamarekani kwa gharama kubwa sana ! Sijui tishio ni nani ? Ufalme unazuia baadhi ya misingi ya kiislaam, wengi hawaelewi ya kuwa taifa hilo linaendeshwa kwa maslahi ya royal family na si 'UISLAAM'

Hilo nalo lawezekana kabisa. Tatizo katika mjadala huu ni kuwa baadhi mjadala wameufanya kuwa wa KIDINI! Hilo linafanya tunakosa uhalisia na ukweli wa tatizo lenyewe. Nakuwa njia panda sasa je, niamini taarifa za PRESS TV? Ama la.. Wengine wamenijibu kuwa kwa kuwa ni TV ya Iran,watayaponda maendeleo ya Saudia kwa kuwa wana mahusiano na Marekani wakati wao [Iran] ni maadui.
 
images


Watu wanaofikia ukubwa wa nchi nzima wanaingia eneo hili dogo sana.


images
 
Back
Top Bottom