Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 7,152
- 10,863
Katika maeneo yote ya hija kuna vyoo vingi na vya kutosha,vingi viko chini ya ardhi.Kila baada ya muda mfupi wanapita wasafishaji.
Kikawaida mahujaji huvaa makanda ili kuhifadhi vitu vyao muhimu kama simu,pasi ya kusafiria na pesa.Unapoingia chooni kujisaidia unaweza ukatundika hilo kanda ili ujisaidie vizuri.Ukitoka unaweza ukalisahau na ukienda masafa mafupi tu usijuwe ni choo gani ulichoingia.Wasafishaji wakipita huwa hawana muda wa kupekuwa kuona kuna nini.Hata kukiwa na dola 2000 wanabeba na kuweka kwenye gari la takataka.Vibaka na wale waliozoea vya bure hawawezi kuamini hili.
.
Kikawaida mahujaji huvaa makanda ili kuhifadhi vitu vyao muhimu kama simu,pasi ya kusafiria na pesa.Unapoingia chooni kujisaidia unaweza ukatundika hilo kanda ili ujisaidie vizuri.Ukitoka unaweza ukalisahau na ukienda masafa mafupi tu usijuwe ni choo gani ulichoingia.Wasafishaji wakipita huwa hawana muda wa kupekuwa kuona kuna nini.Hata kukiwa na dola 2000 wanabeba na kuweka kwenye gari la takataka.Vibaka na wale waliozoea vya bure hawawezi kuamini hili.
.