Lumbi9
JF-Expert Member
- Oct 12, 2014
- 8,566
- 11,808
kwanini kaka?hili jibu ungenijibu mimi ungekuwa umeniadhibu sana mkuu.
kwanini kaka?hili jibu ungenijibu mimi ungekuwa umeniadhibu sana mkuu.
Bei gani au kiasi gani? Umeeleweka lakinianalipwa bei kwa wiki
kama ushaelewa basi nipe jibu mkuuBei gani au kiasi gani? Umeeleweka lakini
milion 86 za kitanzania kwa mwezi anamkataba wa miaka 4sasa hapo ubaya upo wapi, nimeuliza analipwa bei gani kwa wiki
mtoa mada mtu wa ajabu sana eti samatta ana goal 4 katika mechi 18 si maajabu hayoMleta mada unazidi kuumbuka kwa unafiki wako kwa samata kijana ndo anang'ara balaa na keshamuweka bench kereles