Hahahaha mkuu ulikuwa unawasubiri waje. Umetoa mfano mzuriNilitaka nishangae msianze ushirikina wenu.
Giroud hajafunga game ngapi?
Vipi Sanchez
Hata huyu Rashford.
unauhakika gani?Ni Mtanzania mwenzetu ..
mkuu mbna unatuongopea. kwenye ushindi wa goli tano juzi kafunga moja, kasababisha penalt kick kwa kufanyiwa faulo kwenye box iliyomfanya goalkeeper kupewa red card. na katika ushindi huo katoa assist mbili za magoli. ivi jamani mnataka aweje. kwa takwimu nilizotoa inaonekana effect yake ya kutia pressure timu pinzani ni kubwa sana. tusifiwe panaposifiwa jamati etiMazingira ya Ulaya kwa sasa yako sawa na Tanzania. Kipindi anakuja kulikuwa baridi sana, angepata shida. Lakini kwa sasa watu wanatembea uchi tu haitaji kuonyesha kiwango cha chini kihivi.
Amebaki anavizia tu. Majuzi timu yake imefunga 5 yeye hana hata moja. leo wamepigwa. Na yule jamaa yake Mgiriki majuzi aliingia tu akapiga bonge la goli. yeye anabaki hata hakimbilii mipira.
Sijui ninavyomfuatilia. Katika michezo muhimu sana kwa siku za hivi karibu hajaonyesha bidii ya namna hiyo. Amekuwa anavizia ndo maana hujamsikia kafanya mambo yake.mkuu mbna unatuongopea. kwenye ushindi wa goli tano juzi kafunga moja, kasababisha penalt kick kwa kufanyiwa faulo kwenye box iliyomfanya goalkeeper kupewa red card. na katika ushindi huo katoa assist mbili za magoli. ivi jamani mnataka aweje. kwa takwimu nilizotoa inaonekana effect yake ya kutia pressure timu pinzani ni kubwa sana. tusifiwe panaposifiwa jamati eti
.Gaza and Israeli,
Hebu tushauri zaidi kuliko namna ulivyoandika.
Vyema ukaanza na wachezaji wa hapa wafike zaidi yake inaonekana unajua mambo ya Mpira.
Hii kutafuta P kwa Samata atakapofeli ukasema ulishasema...ni unafiki wa kiswazi.
Sisi tunapaswa kua wa kwanza kumpa support adumu wengine waige iwe ajira kwao.
Ni mfano Samata ktk Soka....
Ukitafsiri KUKOSOA ni ushauri kua tayari kuja kuitwa MNAFIKI.
Anayejua HUSHAURI tu,si kwa namna ulivyoleta Mada.
Tumpe support !!
Umerogwa wwe mada inazungumzia namna ya uchezaji wewe unauliza mshahara anaolipwa we jamaa kilaza sana aysesasa hapo ubaya upo wapi, nimeuliza analipwa bei gani kwa wiki
ahsante mkuu, barikiwa!Umerogwa wwe mada inazungumzia namna ya uchezaji wewe unauliza mshahara anaolipwa we jamaa kilaza sana ayse
Yeah mkuu, anafuata maelekezo ya kocha na si jukwaa kama hapa nyumbani.Mapema mno. Halafu ngwe hii ya Ligi ni kali sana, kila mechi ni kama fainali. Hata yule Mjamaica aliyekuwa anawaburuza sana mabeki kwenye ngwee hii anaonekana kuchechemea.
Halafu ukiona Samata anavizia ujue ndio kafundishwa hivyo na kocha, maana kwa asili yule sio mviziaji ni mtu anayependa kutembea na kijiji au kuchezea chezea mpira.
Alifunga goli mojaMazingira ya Ulaya kwa sasa yako sawa na Tanzania. Kipindi anakuja kulikuwa baridi sana, angepata shida. Lakini kwa sasa watu wanatembea uchi tu haitaji kuonyesha kiwango cha chini kihivi.
Amebaki anavizia tu. Majuzi timu yake imefunga 5 yeye hana hata moja. leo wamepigwa. Na yule jamaa yake Mgiriki majuzi aliingia tu akapiga bonge la goli. yeye anabaki hata hakimbilii mipira.
hili jibu ungenijibu mimi ungekuwa umeniadhibu sana mkuu.ahsante mkuu, barikiwa!