Huyu Prof. anashusha hadhi ya taaluma.
Wakati anahoji uelewa wa watu wa Mtwara, na yeye anatakiwa ajihoji iwapo anailewa jamii anayoiongoza.
Nilikuwa na imani naye sana, lakini yaelekea amelewa sifa, kiburi na kujiona anajua. Anakosa sifa za uongozi wa kijamii.Hafai kuwa kiongozi wa jamii. Anadharau watu, tena watu wanyonge na maskini. Hili ni kosa kubwa kiuongozi.
Kwa bahati mbaya sana, tabia yake inafanana na ya katibu mkuu wake, kazi ipo.
Halielewi kabisa, jukumu lake kama kiongozi, kuondoa huo ambao yeye anaona kuwa ni ujinga wa wana Mtwara!
Haoni wajibu wake katika kuisaidia jamii hiyo.Pity!
Wakati anahoji uelewa wa watu wa Mtwara, na yeye anatakiwa ajihoji iwapo anailewa jamii anayoiongoza.
Nilikuwa na imani naye sana, lakini yaelekea amelewa sifa, kiburi na kujiona anajua. Anakosa sifa za uongozi wa kijamii.Hafai kuwa kiongozi wa jamii. Anadharau watu, tena watu wanyonge na maskini. Hili ni kosa kubwa kiuongozi.
Kwa bahati mbaya sana, tabia yake inafanana na ya katibu mkuu wake, kazi ipo.
Halielewi kabisa, jukumu lake kama kiongozi, kuondoa huo ambao yeye anaona kuwa ni ujinga wa wana Mtwara!
Haoni wajibu wake katika kuisaidia jamii hiyo.Pity!