democratic
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 1,642
- 295
Sjaiona tofauti bado kati ya huyu profesa na yule wa tanzania ni muungano wa visiwa vya pemba na zimbabwe aka hamimu
Mwandishi: Upi ni wito wako kuhusiana na vurugu, migororo?
Waziri: Kwanza naomba kuwaambia wananchi wa Mtwara, kuwa wasicheze ngoma wasiyoijua. Wasiimbe nyimbo wasizozijua wala hawajui wanaotunga tenzi za nyimbo hizo.
Waone matunda ya gesi ikiwa ardhini?
Ndio maana mvutano hauishi, kumbe waziri haelewi wanamtwara shida yao nini, inavyoonekana na wanamtwara hawamwalewi waziri, kazi ipo.
Hivi vikao vya posho tangu lini vikapeleka feedbacks kwa wananchi, wananchi hakuna wanalolijua sio tu kuhusu gesi hata hivyo vikao kama vilifanyika.
waziri hizi ndio kejeli wasizozitaka wana mtwara, Muhongo ni kati ya mawaziri niliyokuwa nikifikiri wana uwezo wa kufikiri kumbe naye bure tu, ulitaka walime korosho na wazile huko huko mtwara. Waziri hawana korosho tu, wana gesi pia, kaeni chini muwasikilize acheni kuwakejeli.