Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,024
Kwani si ruhusa kumuandika Samwel Sitta pale anapojenga ofisi ya spika kwa gharama kubwa na mambo mengine kama hayo??
Kwa muda mrefu sasa Kubenea amekuwa kinara katika kuandika mabaya ya lowasa na mafisadi LAKINI katika wiki kadhaa sasa amegeuka na kuwa kisengele nyuma na kuanza kumwandika vibaya Samweli Sita.
Kubenea ni mnafiki tu anajifanya eti anajua mafisadi wote, wakati kashindwa kuwajua waliomwangia Tindikali
Kubenea ni mnafiki tu anajifanya eti anajua mafisadi wote, wakati kashindwa kuwajua waliomwangia Tindikali