Kubenea ni mpambanaji asiye na mfano...na Sitta ni mnafiki asiye na mfano pia, kwa kifupi ni mchumia tumbo ambaye Kubenea hawezi uacha kumuandika na kufichua uozo wake.
Mnaotetea kubenea hamumjui na hamjui aliyeweka mada anamaanisha nini kazi yenu kukurupuka kuchangia tu bila kujua logic ya mweka mada.Someni kabla ya kuchangia.
japo majina yao mawili yanafanana ila sio Kubenea mwandishi aliyegombea ubunge mkuranga kwa ccm,aliyegombea awali alikuwa mtendaji wa kata za buguruni halafu kisutu na sasa ni diwani kwa ccm huko mkuranga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.